Naenda jimboni... Nitawamiss sana

Naenda jimboni... Nitawamiss sana

Here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!

Mgombea Ubunge
user_online.gif

Mgombea Ubunge has no status.
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Nov 2009
Posts: 384
Thanks: 20
Thanked 148 Times in 96 Posts
Rep Power: 21
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mara ya Kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,

huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.

ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............

mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk


Sorry Mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! one day unakamua nane? jamani....wewe hata King Mswati hakufikii....then unataka Ubunge?

Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule Kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! please ID yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!
'


du! huyu ndio mbunge mtarajiwa...Lord have mercy!
 
Next Level, really ur Next Level, UNATISHA!

Je hii ndiyo type ya Wabunge wetu? Maana yasemekana ma-CD wa Dar na Moro huwa wanahamia Dom wakati wa vikao vya Bunge...

Mnakumbuka lile sakata la mbunge toka Zanzibar (CCM) aliyekuwa anakula binti wa Primary School huko Dom, na akamuoa wakati ameanza tu Form One?

Vp Mbunge mtarajiwa, una la kusema?

Ila kwa nchi hii (miTanzania jinsi tulivyo) usishangae hiyo CV ya ngono ya Mgombea Ubunge ikawa ni sifa positive kwa wapiga kura, au at least si kitu kibaya (Ref. Mgombea urais 2005).

Matokeo yake kichwa kidogo ndicho kinaongoza katika kutoa maamuzi...
mwanamapinduzi, ni wachache tunabahatika kujua uozo wa hawa wagombea, hebu niambie mtu kama huyo atavyojipolish huko kijijini ili auzike. maskini watz wenzangu huko hawjuai jamaa ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya mwana kondoo!!!!
 
Katika kipindi cha wiki tatu nitafanya safari kadhaa katika nchi takriban nne hivi ikiwa ni katika kuweka sawa masuala yangu huku ughaibuni kwani februay nitarejea nyumbani ambapo pamoja na mambo mengine nitatangaza rasmi nia yangu ya kugombea ubunge jimboni kwangu.


Ntarajia kugombea ubunge kupitia jimbo la uchaguzi kwa tiketi ya ccm. kutokana na ukweli kwamba kura za maoni za ccm zitapigwa na wanchama wote, ni wazi kuwa kazi ya kuweka mambo sawa jimboni ni kubwa zaidi kuliko katika chaguzi zilizopita. Tayari timu yangu iko jimboni kwa wiki kadhaa sasa na ninalazimika kwenda huko mapema kuiongezea nguvu hasa ikizingatiwa kuwa baada ya march nitakuwa tena na safari nyingine za ng’ambo.

Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu katika kipindi hiki, ni wazi sitaweza kuwa na muda mwingi ndani ya JF halikadhalka nikiwa jimbon siaweza kupata connection ya uhakika ya internet na hivyo nitawamiss sana wapendwa.

Nawatakien kila la her na tuendelee kuombeana heri katika harakati mbalimbali tuanazofanya kwa manufaa yetu na nchi yetu

asanteni

Mbona inakuwa kama vile kugombea kombe la mataifa ya Afrika. Hivi wagombea ubunge wa namna hii wanajua wanachofanya kweli? Hivi ubunge ni ulaji? Kweli hii ndio minyang'au yenyewe.
 
hafiki mtu kwa dizaini hii, mie ndio mana cpendagi kuchungulia humu, kuna ma stress balaa, hebu aje aseme lolote bwana.

kunaudhi sana jukwaa hili sema kujizuia ni ngumu maana inthe end we are victimsof this nonesense.

hajitena huyu......u will see keep waiting. sana sana atavizia mmeondoka ndo aje
 
Mbona inakuwa kama vile kugombea kombe la mataifa ya Afrika. Hivi wagombea ubunge wa namna hii wanajua wanachofanya kweli? Hivi ubunge ni ulaji? Kweli hii ndio minyang'au yenyewe.

someone tell mee where is that pure motive ya kugombea kwa mtu kama huyo!!! anataka kujinufaisha mwenyewe tu hana lolote jipya.....
 
kunaudhi sana jukwaa hili sema kujizuia ni ngumu maana inthe end we are victimsof this nonesense.

hajitena huyu......u will see keep waiting. sana sana atavizia mmeondoka ndo aje


nasemaje...kwanini anaaga kwa hilo jina? angejiweka hadharani bwana, he is not serious@ all.
 
Lakini kama uk mwadilifu ungetuambia ni jimbo gani halafu tungekumegea reality. Ili usije na vidola ama vipaund vyako vikayeyuka. Si umesikia watu wanasukuma mahammer huku TZ sio Hollywood tu. Just be open kama mzalendo na msafi. Usiogope kama nia yako ni Njema. Ila kama ni Jimbo la MUSOMA Ukapambane MKONO ama Jimbo la Pinda. Fikiria kwanza!!
 
ccm sio mbaya, watu ndio wabaya na kama mtanzania kijana ninayekubalika jimboni na watu wa kada balimbali, naamini ninalo jukumu la kuchangia chachu ya mabadiliko ndani ya ccm na hatimaye itatimiza matarajio ya wanachi. kumbuka mkuu, mkono ukichafuka haukatwi bali hsafishwa! tutafika tu.

kuhusu ushindi, sina shaka hata idogo mkuu, nitapita tu. tuombe uzima

Nakutakia kila la heri kwenye kinyang'anyiro cha kuwania ubunge. Ila nadhani bado suala la CCM ni changamoto hasa ikizingatiwa kuwa ni chama ambazo kimetekwa na mafisadi. Inabidi ujiandae kwa hilo na hasa kama unaingia kwenye ushindani kwa madhumuni ya kusimamia maadili. Labda kama na wewe ni fisadi ama unafadhiliwa na mafisadi. Ila kwa upande wangu inaniwia vigumu sana kutenganisha chama na wanachama wake.
 
nasemaje...kwanini anaaga kwa hilo jina? angejiweka hadharani bwana, he is not serious@ all.

wewe huyu jamaa alikuja na lengo hilo toka day one...trace back and you will see. sema labda hakufikir kama huu uwozo mwingine unaweza pia ukaongeza kumuharibia lengo lake.....

natamani asiwe serious maana ananitia kinyaaa!!! MU u better be kidding buddy!!
 
Nakutakia kila la heri kwenye kinyang'anyiro cha kuwania ubunge. Ila nadhani bado suala la CCM ni changamoto hasa ikizingatiwa kuwa ni chama ambazo kimetekwa na mafisadi. Inabidi ujiandae kwa hilo na hasa kama unaingia kwenye ushindani kwa madhumuni ya kusimamia maadili. Labda kama na wewe ni fisadi ama unafadhiliwa na mafisadi. Ila kwa upande wangu inaniwia vigumu sana kutenganisha chama na wanachama wake.

huyu ndo wakusimamia maadili??? yapi hayo??
 
wewe huyu jamaa alikuja na lengo hilo toka day one...trace back and you will see. sema labda hakufikir kama huu uwozo mwingine unaweza pia ukaongeza kumuharibia lengo lake.....

natamani asiwe serious maana ananitia kinyaaa!!! MU u better be kidding buddy!!

uchaguzi wa mwaka huu kazi ipo, kama wagombea wenyewe ndio vihiyo hivi uwiii....nitakuja kuunga foleni nipate kitambulisho cha mpiga kura tu.
 
Here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!

Mgombea Ubunge
user_online.gif

Mgombea Ubunge has no status.
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Nov 2009
Posts: 384
Thanks: 20
Thanked 148 Times in 96 Posts
Rep Power: 21
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mara ya Kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,

huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.

ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............

mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk

Ebo! Kumbe? Huyu kumpa kura yangu ni heri nilale na kondoo! Ptuuuuu!
 
Ebo! Kumbe? Huyu kumpa kura yangu ni heri nilale na kondoo! Ptuuuuu!



Next Level kafanya jamaa hataki tena kuongelea masafari na hatma yake ya kugombea....huko aliko hajaamini kama angepekuliwa hivi.
 
Next Level kafanya jamaa hataki tena kuongelea masafari na hatma yake ya kugombea....huko aliko hajaamini kama angepekuliwa hivi.

Huyu si ndo alikuwa anasema sisi watu wa vijiweni huyu?
 
Next Level kafanya jamaa hataki tena kuongelea masafari na hatma yake ya kugombea....huko aliko hajaamini kama angepekuliwa hivi.

NL kafanya jambo la mbolea sana!!! kinachotuponza watz ni uvivu kujishughulisha tujua ni nani tunaye mchagua atuwakilishe!!! If we could only dig a little deeper mbona tutaona mengi ya kutisha!!!!
 
Huyu si ndo alikuwa anasema sisi watu wa vijiweni huyu?

bora sie wa kijiweni hatumdanganyi wala kumrubuni mtanzania yeyote....we are real and we do our thing!!!
 
Back
Top Bottom