Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Good morning!
Washika dau daaah siwezi kuelezea furaha ilivyokuwa, ila yote kwa yote namshukuru Mungu kwa yote, kwa maisha yangu zaidi ya kuwa na mamilioni kwenye account ila kingine next month I will go to engage with beutiful woman I have seen in my life.
Mchumba wangu anaitwa Miss Lucy Usher Lamine, ni mzungu na ni msomi na tajiri na pia ni mzaliwa wa jiji la Bath mtaa wa Abbey Green.
Miss Lucy Usher nilikutana naye fukwe za ibiza nilienda kula upepo na kuondoa stress za kuanguka kwa hotel yangu iliyopo mji wa Mzizima kitongoji cha Hahari Beach mtaa ya Ununio.
Next month will be my wedding day if God will reward another sweet moment of my life, so welcome all.
"Lucy and mwana Mzizima wedding."
Washika dau daaah siwezi kuelezea furaha ilivyokuwa, ila yote kwa yote namshukuru Mungu kwa yote, kwa maisha yangu zaidi ya kuwa na mamilioni kwenye account ila kingine next month I will go to engage with beutiful woman I have seen in my life.
Mchumba wangu anaitwa Miss Lucy Usher Lamine, ni mzungu na ni msomi na tajiri na pia ni mzaliwa wa jiji la Bath mtaa wa Abbey Green.
Miss Lucy Usher nilikutana naye fukwe za ibiza nilienda kula upepo na kuondoa stress za kuanguka kwa hotel yangu iliyopo mji wa Mzizima kitongoji cha Hahari Beach mtaa ya Ununio.
Next month will be my wedding day if God will reward another sweet moment of my life, so welcome all.
"Lucy and mwana Mzizima wedding."