Naenda Tanga kuoa

Lukaku marata

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2019
Posts
449
Reaction score
752
Habari wadau, i hope wote mpo poa sana.

Mimi ni kijana wa miaka 28,mkazi wa Dar es Salaam.

Nimekuja humu kuonba muongozo wa kwenda kuoa Tanga,nimeamua kwenda huko kutokana na nimechoka kuishi mwenyewe na mademu huku wa dar naona wazinguaji na mimi binafsi sipendi kusumbuka na kubembeleza sana.

Huko tanga sina mwenyeji wala sijui kwa kuanzia.Nina liziko ya wiki kufanikisha hilo.Nipo serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…