Naenda Vekesheni

Naenda Vekesheni

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
Wakuu X.mass inakaribia nimeamua kwenda kujipumnzisha nyanda za juu kusini. Hivi nimeeneo yapi naweza nikapiga kambi na nikaenjoy kuanzia Moro kwenda nyanda za juu kusini.
 
I will be missing you sina jinsi inanilazimu naombeni walio huko nyanda za juu kusini tuwasiliane get tugedha popole pale jamani
 
Ukiuza utumbo usiogope nzi.
Chuda Raha

😀
 
Wakuu X.mass inakaribia nimeamua kwenda kujipumnzisha nyanda za juu kusini. Hivi nimeeneo yapi naweza nikapiga kambi na nikaenjoy kuanzia Moro kwenda nyanda za juu kusini.
ukitoka hapa kaweke kambi MAKAMBAKO!pale kuna hoteli kubwa sana inaitwa DURBAN!pale wanachoma kuku vizuri sana.unaondoka lini mkadange?(hatutaarifiani shekhe?)
 
ukitoka hapa kaweke kambi MAKAMBAKO!pale kuna hoteli kubwa sana inaitwa DURBAN!pale wanachoma kuku vizuri sana.unaondoka lini mkadange?(hatutaarifiani shekhe?)
Na libaridi la makambako sijui kama utainjoi
 
I will be missing you sina jinsi inanilazimu naombeni walio huko nyanda za juu kusini tuwasiliane get tugedha popole pale jamani

Ruvuma, Sumbawanga, Iringa au Mbeya? maana hii nyanda ni kubwa mkulu
 
ukitoka hapa kaweke kambi MAKAMBAKO!pale kuna hoteli kubwa sana inaitwa DURBAN!pale wanachoma kuku vizuri sana.unaondoka lini mkadange?(hatutaarifiani shekhe?)

Swadakta hii hotel inaizidi ile ya Link hotel?
Jamani mkiona nimepotea gafla jamvini maanake safari imekwisha wiva.
 
Swadakta hii hotel inaizidi ile ya Link hotel?
Jamani mkiona nimepotea gafla jamvini maanake safari imekwisha wiva.
hahaha!durban FUNGA KAZI!haina mpinzani.kama ni weekend night clubs pale utaenda mid-town au makambako tours.

totoooz pale ndio mahala pake
 
Pale nikifika itabidi nitafute kifaa au nipigie kifaa changu cha Mbinga tukutane pale ndo nitafaudu.
...Usishau kutumia Oko mkuu si unajua hizi za mwisho wa mwaka ndio huleta vilio tukianza mwaka mpya!!!
 
...Usishau kutumia Oko mkuu si unajua hizi za mwisho wa mwaka ndio huleta vilio tukianza mwaka mpya!!!
hehehehe!oko ya nini bana.NYAMA KWA MEAT......!labda umwambie atembee na KY kama lita tano hivi.

-ninazingatia namna ya kuikabili michubuko
 
...Usishau kutumia Oko mkuu si unajua hizi za mwisho wa mwaka ndio huleta vilio tukianza mwaka mpya!!!

Hahahaha mkuu tayari nimesha nunua box zima nimeweka kweny bag bila kusahau K-Y
 
Back
Top Bottom