Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Acha matusi basi, sasa ulitaka Simba awe pot gani kama Asec tu yuko pot 3?Lete kunguni mwitu wew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha matusi basi, sasa ulitaka Simba awe pot gani kama Asec tu yuko pot 3?Lete kunguni mwitu wew
Umemtoa Simba ukamweka Platinum kujifariji! Watanzania ujinga hautawaisha.Pot 4
Ismaily-Egypt
Loba Stars-Nigeria
FC Platium-Zimbabwe
JS Soura-Algeria
Unapoongea na wajinga wenzako usifikiri watu wote wako kwenye level yako.
Mtambo wewe.
Pukachaka.
Mbumbumbu lazima wawe motoMikia : Yanga haijawahi kuingia makundi Champions League.
Yanga : Remember 1998, sisi ndio waasisi, tena ilikuwa 8 bora sio nyie makundi timu 16.
Mikia : Yanga haijawahi kujaza uwanja wa Taifa wasipocheza na Simba.
Yanga : Remember Yanga vs TP Mazembe mpaka mageti yakafungwa na watu wakafukuzwa na mabomu warudi nyumbani.
Mikia : Yanga haiwezi kujaza uwanja mpaka waingizwe bure.
Yanga : Remember fainali ya Kagame Cup ,Yanga vs Azam FC.
Remember Yanga vs Al Ahly, ile mechi Canavaro anafunga goli la kichwa, tulikuja kukaa mpaka upande wenu mkaita polisi wakatufukuza kwa mabomu?.
Mikia : Simba ni timu bora kimataifa.
Yanga : Remember mwaka jana ktk kupanga makundi yule mtangazaji wa Egypt aliitaje Yanga, A Big Team from Tanzania, tuone nyie kama mtapewa hiyo heshima.
Pia angalia CAF walipowapanga ktk pots za seeding, mmewekwa Level 4, yaani ambazo ni vibonde ktk zile 16 zote.
Kwa msiofahamu Simba kapangwa Level 4 na timu kama Soura na Lobi ambazo ndio zinshiriki Champions league kwa mara ya kwanza.
Mikia : Simba sasa hivi timu kubwa tunashundana na level za kina Mazembe, sio nyie mnacheza na Tukuyu.
Yanga : Remember kesho mtacheza na timu ya Mashujaa toka Kigoma ebu mtuambie Kigoma ni nchi au kwa kuwa iko karibu na Burundi?
Mikia : Lile goli la Chama ni goli bora halijawahi kufungwa.
Yanga : Remember yule kijana wa under 20 ya Mbao alifunga goli kama lile kabla hajaenda kushangilia pembeni na kupoteza maisha.
Mikia : Yanga mlivyoona uwanja umejaa mkatamani mtembeze bakuli.
Yanga : Remember , Yanga kuchangishana sio jambo geni, tena tulienda mbali tuliwachangia ktk rambirambi ya Mafisango na pesa hamkufikisha, hatutaki kuongelea na tulizowachangia mwaka jana.
Mikia : [emoji24]
Yanga : Unalia nini sasa?View attachment 977346
Huyu chura anasikitisha mkuuKwa hiyo ubora wa timu unapimwa kwa kutajwa na mtangazaji wa Misri? 😀😀😛😛😛 Ha ha haaaaa! Churaaaaa! Amepanic
Nyie kwa msaada wa MOWalijaza uwanja kwa msaada wa Manji
Hakuna mtu aliyelipiwa hapo.Wote waliingia kwa pesa zao.Nyie kwa msaada wa MO
Mikia 2 Mashujaa 3Mi nachokumbuka mwaka 1998 ni zile bao 6 za Raja Casablanca dhidi ya 0 za yanga...mtoa mada tukumbushe na matokeo mengine sio kutukumbusha yasio na maana.
nadhani bado hujafa mkuu nakuombea afya na uzima uliuteseke zaidi.😁😁 sasa hapo nani anateseka?
Mi nitamzidi mwinyi,sifi leonadhani bado hujafa mkuu nakuombea afya na uzima uliuteseke zaidi.