Naendelea kuwaelimisha mashabiki wa Simba

Naendelea kuwaelimisha mashabiki wa Simba

Pot 4
Ismaily-Egypt
Loba Stars-Nigeria
FC Platium-Zimbabwe
JS Soura-Algeria
Unapoongea na wajinga wenzako usifikiri watu wote wako kwenye level yako.
Mtambo wewe.
Pukachaka.
Umemtoa Simba ukamweka Platinum kujifariji! Watanzania ujinga hautawaisha.
 
Mikia : Yanga haijawahi kuingia makundi Champions League.

Yanga : Remember 1998, sisi ndio waasisi, tena ilikuwa 8 bora sio nyie makundi timu 16.

Mikia : Yanga haijawahi kujaza uwanja wa Taifa wasipocheza na Simba.

Yanga : Remember Yanga vs TP Mazembe mpaka mageti yakafungwa na watu wakafukuzwa na mabomu warudi nyumbani.

Mikia : Yanga haiwezi kujaza uwanja mpaka waingizwe bure.

Yanga : Remember fainali ya Kagame Cup ,Yanga vs Azam FC.

Remember Yanga vs Al Ahly, ile mechi Canavaro anafunga goli la kichwa, tulikuja kukaa mpaka upande wenu mkaita polisi wakatufukuza kwa mabomu?.

Mikia : Simba ni timu bora kimataifa.

Yanga : Remember mwaka jana ktk kupanga makundi yule mtangazaji wa Egypt aliitaje Yanga, A Big Team from Tanzania, tuone nyie kama mtapewa hiyo heshima.

Pia angalia CAF walipowapanga ktk pots za seeding, mmewekwa Level 4, yaani ambazo ni vibonde ktk zile 16 zote.

Kwa msiofahamu Simba kapangwa Level 4 na timu kama Soura na Lobi ambazo ndio zinshiriki Champions league kwa mara ya kwanza.

Mikia : Simba sasa hivi timu kubwa tunashundana na level za kina Mazembe, sio nyie mnacheza na Tukuyu.

Yanga : Remember kesho mtacheza na timu ya Mashujaa toka Kigoma ebu mtuambie Kigoma ni nchi au kwa kuwa iko karibu na Burundi?

Mikia : Lile goli la Chama ni goli bora halijawahi kufungwa.

Yanga : Remember yule kijana wa under 20 ya Mbao alifunga goli kama lile kabla hajaenda kushangilia pembeni na kupoteza maisha.

Mikia : Yanga mlivyoona uwanja umejaa mkatamani mtembeze bakuli.

Yanga : Remember , Yanga kuchangishana sio jambo geni, tena tulienda mbali tuliwachangia ktk rambirambi ya Mafisango na pesa hamkufikisha, hatutaki kuongelea na tulizowachangia mwaka jana.

Mikia : [emoji24]
Yanga : Unalia nini sasa?View attachment 977346
Mbumbumbu lazima wawe moto
 
Nyie kwa msaada wa MO
Hakuna mtu aliyelipiwa hapo.Wote waliingia kwa pesa zao.
Vyura walilipiwa na Manji.Ndio maana mnampigia magoti mpaka leo.Siku hiyo hata mageti mlivunja.
Pukachaka.
 
nafikiri huu mfumo wa kampuni ni bora sana hakuna ubabaishaji uliozoeleka wa viongozi njaa. Hii Habari ya viongozi njaa inaigarimu Yanga zaidi kuliko simba.hongera simba chini ya dewji wamejipanga wamefika makundi. Timu Kama Yanga inaweza kuwa tajiri ikaacha kuyumba kifedha ikitekeleza mfumo wa kampuni ikumbukwe Yanga ndiyo muasisi wa klabu ya mpira kujiendesha ki kampuni Tanzania. 1998 Yanga ilifika 8 bora Africa viongozi wabovu wakavurunda na kuhujumu timu ikashindwa kupata rekodi nzuri kwa maslahi yao. Ufike mwisho wa hawa wababaishaji Kupewa uongozi , wanajali ela kuiba hawana program wala ubunifu wa kuongoza vilabu. Yanga na simba zikivurunda hata timu ya taifa haifiki mbali. Nilikuwa naangalia historia ya caf club championship Africa Yanga na simba zimeanza zamani kushiriki ilitakiwa angalau tuchukue kombe au hata kufika Fainali ingawa simba 1974 iliishia nusu fainali .Villa Uganda walishafika fainali, afc leopard na nkana fc vilevile walishafika fainali . Gor mahia walichukua kombe la washindi africa. Tp mazembe imechukua caf championship Mara 5 vita fc mara 1 au 2 zote za DRC
 
Mi nachokumbuka mwaka 1998 ni zile bao 6 za Raja Casablanca dhidi ya 0 za yanga...mtoa mada tukumbushe na matokeo mengine sio kutukumbusha yasio na maana.
 
Kudadadeki! Huu ni mwaka wa Simba kutafuna mabilioni ya CAF!
 
Back
Top Bottom