Thanda
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,915
- 596
Acha Kazi Uone Jinsi Ilivyo Kazi Kupata Kazi Mtaani
Wadau nimeajiriwa na kusaini mkataba ila kazi ni ngumu sana nataka kukimbia.sijui mnanishaurije coz kuna wengine wamenishauri nisiache coz mtaani ni pagumu xana