Dickmadegwa
Member
- Aug 26, 2014
- 27
- 7
Wakuu naombeni ushauri nataka nimshitaki bosi wangu je ataweza kunifukuza kazi?
Pia sheria inataka mtu afanye kazi masaa mangapi?
Maana mkataba wangu natakiwa nifanye kazi saa 24 usiku na mchana na silipwi overtime je ni sawa?
Msaada please
Pia sheria inataka mtu afanye kazi masaa mangapi?
Maana mkataba wangu natakiwa nifanye kazi saa 24 usiku na mchana na silipwi overtime je ni sawa?
Msaada please