Acehood
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,653
- 2,792
Ni matumaini yangu kuwa kila anayesoma uzi huu ni mzima wa afya.
Mimi ni kijana, Nimehitimu mwaka jana (2021).
Nina vifaa kama simu (smartphone) na kompyuta mpakato (laptop), vinavyoweza kuniwezesha kufanya kazi tajwa hapo awali yaani, writing/copywriting, translation na editing.
Kwa anayehitaji huduma tajwa hapo juu naomba awasiliane nami kwa kunitumia meseji hapa hapa Jamii forums.
Asante.
Mimi ni kijana, Nimehitimu mwaka jana (2021).
Nina vifaa kama simu (smartphone) na kompyuta mpakato (laptop), vinavyoweza kuniwezesha kufanya kazi tajwa hapo awali yaani, writing/copywriting, translation na editing.
Kwa anayehitaji huduma tajwa hapo juu naomba awasiliane nami kwa kunitumia meseji hapa hapa Jamii forums.
Asante.