Nafanya kazi ya kuandika (writing/copywriting), kutafsiri (translation), na editing "Freelancer"

Acehood

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,653
Reaction score
2,792
Ni matumaini yangu kuwa kila anayesoma uzi huu ni mzima wa afya.

Mimi ni kijana, Nimehitimu mwaka jana (2021).

Nina vifaa kama simu (smartphone) na kompyuta mpakato (laptop), vinavyoweza kuniwezesha kufanya kazi tajwa hapo awali yaani, writing/copywriting, translation na editing.

Kwa anayehitaji huduma tajwa hapo juu naomba awasiliane nami kwa kunitumia meseji hapa hapa Jamii forums.

Asante.
 
Mkuu,kama uko serious weka email serious na namba ya simu.Kisha utulie kazi zitakuja
 
Mkuu upo pande gani na vp nikiwa naitaji huduma ya kunifundisha editing na mambo ya freelancer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…