Nafanya kazi ya kujenga "ngazi za kuelea elea" floating stairs

Nafanya kazi ya kujenga "ngazi za kuelea elea" floating stairs

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa
"ngazi za kuelea elea"

nicheki nikufanyie kazi yako.

Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu.
Karibuni wakuu. Simu namba 0624254690
1728838728671.jpeg


VideoCapture_20240824-165716.jpg
20240822_175050.jpg
20241002_153351.jpg
Screenshot_20250104-193529_Google.jpg
 
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa
"ngazi za kuelea elea"

nicheki nikufanyie kazi yako.

Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu.
Karibuni wakuuView attachment 3082144

0624254690
Elezea faida gani mtu atazipata kwa kuweka hizo ngazi..

Elezea kwa nini mtu ahotaji kweka hizo mgazi na io zile zingine.


Unapotangaza biashara jua kaba kuna watu ni wageni kabisa hawajawahi kusikia chochote kuhusu unachokitangaza,hivuo ni busara ukatoa ABC za jambo lako
 
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa
"ngazi za kuelea elea"

nicheki nikufanyie kazi yako.

Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu.
Karibuni wakuuView attachment 3082144

0624254690
Kwa mazingira yetu ya kibongo huko chini si kutajaa mifugo kama mende, panya, kenge, nk? Pia, kusafisha huko chini unasafishaje? Maana si kutajaa sana vumbi na mauchafu ya kila aina kama majani makavu ya miti, na kadhalika?
Unayo picha ambayo ikiwa kila kitu kimekalimika na zimepigwa rangi? Je, inatakiwa kuchukua tahadhari gani au kufanya nini ili mwenye hizi ngazi asipate maudhi na aenjoy hizi ngazi?
 
Elezea faida gani mtu atazipata kwa kuweka hizo ngazi..

Elezea kwa nini mtu ahotaji kweka hizo mgazi na io zile zingine.


Unapotangaza biashara jua kaba kuna watu ni wageni kabisa hawajawahi kusikia chochote kuhusu unachokitangaza,hivuo ni busara ukatoa ABC za jambo lako
Ok mkuu nakuelewa! Lakini yote ni kupendezesha nyumba tu.
Faida kuu ni kuwa na kitu cha kipekee.
Hapo ni sawa na tuseme mtu anayemiliki Ist na anayemiliki V8, wote ni usafiri ila mwenye V8 ana upekee wake.
Sasa hizo ngazi ni kama V8.
 
Kwa mazingira yetu ya kibongo huko chini si kutajaa mifugo kama mende, panya, kenge, nk? Pia, kusafisha huko chini unasafishaje? Maana si kutajaa sana vumbi na mauchafu ya kila aina kama majani makavu ya miti, na kadhalika?
Unayo picha ambayo ikiwa kila kitu kimekalimika na zimepigwa rangi? Je, inatakiwa kuchukua tahadhari gani au kufanya nini ili mwenye hizi ngazi asipate maudhi na aenjoy hizi ngazi?
hivo vitu havijengwi kwetu uswahilini mabonde kuinama hata kufagia kazii
 
Back
Top Bottom