little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Udereva wa treni ni chuo cha reli tawi la morogoro kwa reli hii ya kati (TRC) chuo kinaitwa Tanzania institute of railway technology (TIRTEC).Udereva wa treni unasomea wapi ?
Tabora ni main campus yao uko sahihi kabisa ila kwa fani za ufundi wa vichwa vya treni hasa kwa technicians wa Mechanical na Electrical pamoja na udereva wa treni sasa chuo kipo morogoro mule mule ndani ya karakana kuu ya shirika la reli.Kiko Tabora Cha TRC na Kenya Kwa Train za kawaida Lakini ukitaka udereva wa Treni za mwendo Kasi Ulaya na Marekani na baadhi ya nchi za Asia kama Korea kusini vipo
Treni zimezeeka zinazimika zimika njiani anakaa Siku Tano porini unategemea Nini ? Kawaangalie wa SGR wako vizuri sanaIla madereva wa treni wengi nawaonaga chenga walevi walevi
π dish zao kama zimecheza π
Ova
Basi ni hivi kuna madereva juzi tu wamemaliza training hapo dar es salaam ambao ni madereva hawa hawa tu waliokuwa wanapiga mpini wa hizi diesel electric locomotive za MGR wapo waliokwenda nje kwa wiki 2 na wapo waliopigia hapa hapa training. Na baadhi ya online tv walionyesha wakipewa certificate za ku operate electric locomotives na training ilikuwa chini ya wa south Korea wenyewe waliounda machine.Hawafundishi waendesha train za SGR wote waliopo wote walipelekwa nje ya nchi na shirika ra Reli Tanzania
Mwenye Pesa anapelekaje mtoto Shule ya kayumba
Watoto wa wenye Pesa na wao wanatakiwa wachachamae Kwa wazazi wao kuwa Wewe Pesa unayo unanipekekaje Shule ya kayumba? Sitaki na siendi
Watoto Wana Haki zao kupata Elimu Bora
Mzazi ana Hela watoto wamkomalie awapeleke Shule Bora sana na vyuo Bora duniani
Nakutakia Kila la heri maisha ni kukomaa ili mtoto atoke kimaisha na Mzazi usikie Raha na kujidai kuwa mwanangu Yuko Qatar au Emirates anaendesha dege Toka bara moja Hadi lingineNgoja nikomae huku shambani nipeleke watoto wangu shule za maana, ni raha sana kuwa na mtoto ana sukuma mtambo wa Fly Emirates ama Qatar Airways.
Mweeeeh! Ndoto yangu ya kuwa rubani inakufa hivi hiviiiπππTafuta $100,000 nenda Flying School SA.
HahahahahaMweeeeh! Ndoto yangu ya kuwa rubani inakufa hivi hiviiiπππ
Daaah!! Usicheke mkuuπππHahahahaha
Hahahahaha..nafurahi tu mkuuDaaah!! Usicheke mkuuπππ
Ngoja niendelee tu kufuga kuku.Hahahahaha..nafurahi tu mkuu
Kaka urubani ni udereva kama ulivokuwa udereva mwingine na mtu yeyote anaweza kuwa rubani no matter umesoma HKL.Wakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
hio pesa unapewa na kandege kadogo kwaajir ya training[emoji15]Hii unalipia nini? - ada ya hadi kufuzu au nini?
Zamani walikuwa wanafundisha,siku hizi sijuiMkuu hivi wale Dar es salaam Maritime Institute hawafundishi unahodha wa meli.
Kwa Student Pilot Licence haizidi M.20 za kitanzania.Taja Ada ni kiasi gani watu watoke kwenye reli
Hilo ndio la maana zaidiNgoja niendelee tu kufuga kuku.
Anasoma labda aje kurusha ndege yakeKaka urubani ni udereva kama ulivokuwa udereva mwingine na mtu yeyote anaweza kuwa rubani no matter umesoma HKL.
Ada ya kusomea urubani huwa ni gharama kubwa sana ndo maana sio kila mtu anaweza kuafford. Ada yake si chini ya milioni 45 kwa hapa bongo.
Lakini pia unatakiwa kujua usafiri wa mdege ni wa gharama sana na kumiliki ndege pia ni gharama hivyo unatakiwa kuwa na uhakika wa ajira sana.
Unaweza kuwa urban na unahustle miaka na miaka bila kupata ajira.
Ndege kama hizo Air Tanzania gharama yake ni kubwa sana kumiliki ndo maana asilimia kubwa ya ndege za nchi za sub Saharan state zinamilikiwa na nchi husika.
Jiulize tu je, ukishamaliza kusomea urubani ni tajiri gani ataamua kurisk akupatie ndege yake ukaigongeshe mlima kitonga?ππ(Jokes)
Mara nyingi wamiliki wa ndege hupenda kuwasomesha ndugu na watoto wao ili waje kuwa marubani wa ndege zao.
Ila kama UNAWATU sikupingi ni kazi nzuri sana, ww ndo unakuwa Captain kwenye ndege, watu wote wanakusikiliza ww na ofcoz maokoto ni makubwa pia.