Nimeweka bei ya best flying school SA. Rafiki yangu alisoma huko. Hata hivyo sidhani kama utamaliza hio kozi hadi upate cpl chini ya $70,000Vyuo vimetofautiana sidhani kama vyote ni hiyo Ada..
Hahahahaha..aanze na huto tu ndege km bob sambekiTafuta rubani wa hata ATCL muulize kama kasoma NIT. Huko labda ujifunze tule tundege twa kumwagilia dawa shambani.
OK SA wana vyuo vingi sana kama mtu ataenda moja kwa moja nadhani gharama zitapungua kidogo...Mkuu ada ya chini ni ya Tanzania aviation sio chini 90m tena lazima kuna hatua ya kuenda south Africa kujifunza aircraft kubwa zaid........
Kwa sisi wana uchumi tunasema hivi $70,000 ni equivalent roughly 150m Tz shilling unauwezo wakupata sehemu kubwa pale postor ukafungua supemarket ya gharama ya 120m ili uzie ma pilot na crew wanao wahi airport na elites wengine kwa siku faida ni 700k to 1m kwa mwezi ni 21m hadi 30m mshahara wa pilot armature ni 2m to 5m kama kabahatika kupata ajira......kwahiyo bora uwekeze hiyo pesa ili usomeshe wanao upilot huo.Nimeweka bei ya best flying school SA. Rafiki yangu alisoma huko. Hata hivyo sidhani kama utamaliza hio kozi hadi upate cpl chini ya $70,000
OK vipo vingi mkuu na best kipo cha Eastern Cape,Pretoria, Johannesburg vilianza miaka ya 1970 vingine 1981 nadhani mimi mdogo angu alisoma hicho cha Cape miaka ya nyuma kidogo sidhani kama ilikua fee kubwa kihivyo maana alifanya kazi hapo hapo akalipa Ada mwenyewe amefanya kazi SAA sasa hivi yupo na ET naona muda mwingine anaenda na Rwanda kwa sababu ya Ubia wao...Nimeweka bei ya best flying school SA. Rafiki yangu alisoma huko. Hata hivyo sidhani kama utamaliza hio kozi hadi upate cpl chini ya $70,000
Mkuu ukiwa na hela priority yako ni furaha ya mtoto wako. Sasa mtoto ana ndoto ya kusoma urubani na $100,000 kwako so kitu unatoa tu.Kwa sisi wana uchumi tunasema hivi $70,000 ni equivalent roughly 150m Tz shilling unauwezo wakupata sehemu kubwa pale postor ukafungua supemarket ya gharama ya 120m ili uzie ma pilot na crew wanao wahi airport na elites wengine kwa siku faida ni 700k to 1m kwa mwezi ni 21m hadi 30m mshahara wa pilot armature ni 2m to 5m kama kabahatika kupata ajira......kwahiyo bora uwejeze hiyo pesa ili usomeshe wanao upilot huo.
Mkuu usihangaike na hawa watu,mtu anasema ndoto yake kua Pilot anaambiwa afungue Supermarket!Mkuu ukiwa na hela priority yako ni furaha ya mtoto wako. Sasa mtoto ana ndoto ya kusoma urubani na $100,000 kwako so kitu unatoa tu.
Nina marafiki watatu marubani mmoja kasoma SA, wawili wamesoma USA huko bei kubwa zaidi. Urubani bei rahisi kidogo ni PPL aka private pilot license...ilq ukitaka kupanda kwenye commercial pilot license ni gharama sana.
nenda south africa vyuo vipo vingi na sio bei kubwa sanaWakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
Tatizo letu wengi tuna shida za akili ๐๐๐๐๐๐Mkuu usihangaike na hawa watu,mtu anasema ndoto yake kua Pilot anaambiwa afungue Supermarket!
Ndio maana unakuta kuna Uzi mtu anatafuta Gari la kununua la milioni 7 halafu anakuja mtu kumwambia hiyo milioni 7 kwanini usiwekeze!
Tupunguze ushauri,kila mtu ana mipango yake.
๐ ๐
Kama wazazi wako wamewekeza kweli kweli aina shida kujipa uneconomical priority kufurahisha nafsi ya mtoto, ila kama ni sisi watoto wamakabwera lazima tuangalie cost na masirahi........"African parent is adictetor always" ndo utaweza family zetu uhuru ulio pitiliza unaharibu mtoto, " soft life does not make men?Mkuu ukiwa na hela priority yako ni furaha ya mtoto wako. Sasa mtoto ana ndoto ya kusoma urubani na $100,000 kwako so kitu unatoa tu.
Nina marafiki watatu marubani mmoja kasoma SA, wawili wamesoma USA huko bei kubwa zaidi. Urubani bei rahisi kidogo ni PPL aka private pilot license...ilq ukitaka kupanda kwenye commercial pilot license ni gharama sana.
Mkuu nasikia ukiuza UTI wa mgongo unaweza kusoma pilot ukapata leseni na pesa ikabaki ukanunua na ndege kabisa๐๐๐๐Ushauliza Ada kweli una kitu lakini Ada yake Utauza figo yako moja ili ulipie Utachagua figo ya Kask au Kusini ya Mbele au ya nyuma alafu uongeze na gharama kidgo ya kiganja cha mkono๐๐๐
Mimi ni Rubani pia.(lakini sija ajiriwa naruka na ndege yangu binafsi)Wakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
Bora umepasua jipuUrubani ni udereva tu wasikutishe
Mkuu mimi rubaniHAIPO wewe unaongelea NIT ya WAPI labda? Alafu usifananishe dereva wa Lori na RUBANI wa Ndege
Wewe utakua RUBANI wa Simulator unaendesha Ndege gani inaenda Nchi gani?Mkuu mimi rubani
Walahi ndege ni rahisi kuliko Lori lenye "tonge nyama"...Eaton fuller gear box.