Ni ndege yangu binafsi.....naenda popoteWewe utakua RUBANI wa Simulator unaendesha Ndege gani inaenda Nchi gani?
Huyo unaweza kukuta ni Rubani wa zile Drone zinazopiga picha kwenye Maharusi na mikutano.Wewe utakua RUBANI wa Simulator unaendesha Ndege gani inaenda Nchi gani?
Wewe utakua RUBANI wa Simulator unaendesha Ndege gani inaenda Nchi gani?
Nakupa pole.Huyo unaweza kukuta ni Rubani wa zile Drone zinazopiga picha kwenye Maharusi na mikutano.
Itakulazimu ukate na Kongosho kidogo pale juu si unajua iko kama jani😂😂😂 upate hela ya mafutaMkuu nasikia ukiuza UTI wa mgongo unaweza kusoma pilot ukapata leseni na pesa ikabaki ukanunua na ndege kabisa😂😂😂😂
Ile ya asiliNi ndege yangu binafsi.....naenda popote
Wewe Ndege labda ya Picha sebleni kwako ndio unayoNakupa pole.
Pengine umezungukwa na umasikini
Hakuna mwenye Ndege hapo huyo mzururaji wa JF anachangamsha GENGE tuHuyo unaweza kukuta ni Rubani wa zile Drone zinazopiga picha kwenye Maharusi na mikutano.
Ile ya asili
😀 😀Nakupa pole.
Pengine umezungukwa na umasikini
ShukranHakuna mwenye Ndege hapo huyo mzururaji wa JF anachangamsha GENGE tu
Shukran😀 😀
Nakushauri anza kujipa pole wewe.
Sasa si yeye anahitaji ndege kubwa kuendesha kama akisomea bongo ataishia kuendesha tundege tudogo tudogo aende huko nje akasome akirudi ndege kubwa hii hapo yeye Ndie pilotNenda NIT mabibo pale au Aviation uk Ukonga utaambiwa ama watafute coastal Aviation
KabisaHiyo picha ya Ndege umeitoa hapa.
Pilatus Finalizes Rough Field Certification for PC-24 Bizjet by Pilatus AircraftAeroExpo
Stans, Switzerland-based Pilatus Aircraft has become the first business jet manufacturer to achieve something many expected would be impossible—certification for rough field operations—for its PC-24 Super Versatile Jet. Since 2018, the bizjet has been certified to land on dry sand and gravel...trends.aeroexpo.online
nzalendo
Kunywa kwanza huo UJI wako utapoa shauri yakoMimi ni mTanzania pia ninamiliki meli kadhaa za mizigo.
Sio kwamba najisifu ila ni vizuri uelewe....
😂😂😂😂 Dadek zake...Itakulazimu ukate na Kongosho kidogo pale juu si unajua iko kama jani😂😂😂 upate hela ya mafuta
NIT wanafundisha ndege za kumwagilia dawa shambani...Sasa si yeye anahitaji ndege kubwa kuendesha kama akisomea bongo ataishia kuendesha tundege tudogo tudogo aende huko nje akasome akirudi ndege kubwa hii hapo yeye Ndie pilot
Kabisa
Hiyo ni yangu
Niambie Mkuu huko sasa hivi sijafatilia Ada zao zinakwendaje ila vyuo navijua na nimefika nilipokua nafatilia fursa miaka hiyo ila niliona ni kawaida kwa sababu dogo alichanga mwenyewe pesa zake akasoma yupo kazini ingekua hatari nadhani dogo asingefanikisha..