Nafanyaje kuwa pilot wa ndege?

Kutokana na mabadiliko wataongeza mtaala; ni sawa na kuhama kutoka kwenye magari 'manual' na kwenda 'automatic'
Miundo mbinu Hadi ijengwe sio Leo Hilo na bajeti zote zilizopo hakuna mahali serikali imetenga Pesa ku upgrade hicho chuo kuwa kitaanza kutoa mafunzo ya udereva na ufundi wa Train za SGR za mwendo Kasi .Hakuna bajeti hiyo ndani ya TRC Wala serikali
 
we jamaa una zerewi sana[emoji1787]kazi ya mbaba mtu mzima tena anayetegemewa na ukoo mzima hlf wewe unasema anakodoa mimacho[emoji1]utani wa ngumi kabisa huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…