Nafanyaje kuwa pilot wa ndege?

Nafanyaje kuwa pilot wa ndege?

Kutokana na mabadiliko wataongeza mtaala; ni sawa na kuhama kutoka kwenye magari 'manual' na kwenda 'automatic'
Miundo mbinu Hadi ijengwe sio Leo Hilo na bajeti zote zilizopo hakuna mahali serikali imetenga Pesa ku upgrade hicho chuo kuwa kitaanza kutoa mafunzo ya udereva na ufundi wa Train za SGR za mwendo Kasi .Hakuna bajeti hiyo ndani ya TRC Wala serikali
 
Mbona Wana majina tofauti Rubani ni yeyote anayeendesha chombo Cha moto hewani kusiko na Ardhi akitumia utaalamu na dira sio kukodoa macho tu

Dreva ni muendesha chombo Cha moto ardhini bila kutumia utaalamu wa Hali ya juu Wala dira anaendesha Kwa kukodoa mimacho tu kama mjusi aliyefiwa na mkwewe kuangalia mbele kwenye barabara bila dira yeyote
we jamaa una zerewi sana[emoji1787]kazi ya mbaba mtu mzima tena anayetegemewa na ukoo mzima hlf wewe unasema anakodoa mimacho[emoji1]utani wa ngumi kabisa huu
 
Back
Top Bottom