Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,Wakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
mkuu ukiwa pilot usisahau kuleta mrejesho hapaWakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
Ila madereva wa treni wengi nawaonaga chenga walevi waleviSijajua kama wanafundisha mambo ya sgr
Akiwa na pesa na passion anakuwa rubani faster tumkuu ukiwa pilot usisahau kuleta mrejesho hapa
Huo mshahara ni bei gani kwa tarakimu? Wengine hatujui, msaada tafadhali.Mshahara wa rubani mwenye CPL licence yaani Commercial Pilot License anayeendesha ndege za abiria unazidi wa Professor Tena mbali mno hamfikii achana na ada ya PHD.mbona mdogo mno
Akiwa na pesa na passion anakuwa rubani faster tu
Ova
Rubani hata wa ATCL mshahara wake mkubwa kuliko wa Professor niishie hapoHuo mshahara ni bei gani kwa tarakimu? Wengine hatujui, msaada tafadhali.
Kichwa chako kikiwa vzr utatusuaSi wanasema mpaka uwe vizuri kichwani, ile PGM uwe umefaulu vizuri.
Na mpaka aje apewe dege ka Boeing afanye kazi kweli kweli.Hizo ni 250m za kitanzania ukute ata kusoma shule za private za ada ya 1.8m ulikua mtihani sasa atafute 250m kwa certificate ya pilot loh.
Rubani hata wa ATCL mshahara wake mkubwa kuliko wa Professor niishie hapo
Kwa wenye Pesa pekekeni watoto kusoma Embry riddle University Marekani ndio huo Bora duniani kwenye mambo ya vyombo vya anga wanafundisha uinjinia Hadi kuendesha roketi za kwenda anga za juu huko mwezini nk
Ni chuo Namba moja duniani Kwa mambo ya anga na ajira kimataifa nje nje Harudi Tanzania huyo
Watanzania wenye Pesa acheni ubahili .Kuwekeza sio biashara tu ni pamoja na Elimu Bora Kwa mtoto Tena Bora hasa sio Bora Elimu
Ni aibu Kwa mtu mwenye Pesa mtoto wake naye kulia Lia kugombea ajira na watoto wa maskini za laki saba Kwa mwezi na degree yake wakati angesoma Hivyo vyuo angepata mshahara wa milioni 30 minimum Kwa Kwa mwezi akiajiriwa
Wenye Pesa pelekeni watoto nje course za uhakika zenye ajira zenye Pesa nyingi acheni kufrustrate watoto wanagombea viajira vya serikali vya Pesa ndogo na watoto wa maskini
Pesa Sasa mbazitafuta za Nini kinunua uchawi au? Mtoto kweli na mipesa yenu anashinda kugombea viajira na vivyeo vya kisiasa vya vihela vidogo sio sahihi
Treni za nchi ipi??za mama kizimkazi?Asomee hata udereva wa treni..sgr
Mkuu hivi wale Dar es salaam Maritime Institute hawafundishi unahodha wa meli.Chuo cha bandari hapo
Ova
Pilot ni dereva kama dereva wa Basi la AboodMbona Wana majina tofauti Rubani ni yeyote anayeendesha chombo Cha moto hewani kusiko na Ardhi akitumia utaalamu na dira sio kukodoa macho tu
Dreva ni muendesha chombo Cha moto ardhini bila kutumia utaalamu wa Hali ya juu Wala dira anaendesha Kwa kukodoa mimacho tu kama mjusi aliyefiwa na mkwewe kuangalia mbele kwenye barabara bila dira yeyote
Umesahau neno moja kwenye ulichoandika ulitakiwa umalizie Kwa Kwa kusema Kwa maoni Yako binafsiPilot ni dereva kama dereva wa Basi la Abood
Mwenye Pesa anapelekaje mtoto Shule ya kayumbaUshauri mzuri sana, ila ndio hivyo kaka. Lazima afaulu vizuri hizi shule zetu za kayumba.
UsomeeWakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.