Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #21
Duka lipi mkuu 😂🙌🙌🙌Kumbe ndio wewe yule umemtaja yule bibi mjame mtaa wa pale dukani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duka lipi mkuu 😂🙌🙌🙌Kumbe ndio wewe yule umemtaja yule bibi mjame mtaa wa pale dukani
Mkuu hapana na haitokuja tokea aiseee ni vile huyu mtu anafanya mambo yake ya kijinga kwanguClassmate unakula vikongwe??🤣
Halafu hana vyote hvo ila anawaza kupakazia wenzake ujingaT3
Tako
Tumbo
Titi
Ahaaa
T1-TitiAfadhari angekua hata anajiweza au ana T 3 ila hana .
Mkuu namkwepa vipi sasa huyu mtu naona kama mchawi hvUmeyakanyaga mkuu 🤣🤣
Aaaaha mi nishamkataa huyu siwezi kutoka na vibibi mimi naona anajaribu kunipa vtu ila sasa nakataaaAah nimekumbuka mara nyingi wanawake wakitongoza wakakataliwa inawaumaga sana hiyo yaani sana tu itakuwa ndo maana
Ya tatu ni Tumbo mkuu...T1-Titi
T2-tako
T3- nikumbushe ya 3 mkuu naona nazeeka sasa
Mkuu siwezi tongoza Kibibi mie tena Mungu anisaidie nisije kuwaza hiko kituMkuu kumbuka vizuri hukutupia vocal kweli wewe? 😆😆😆
Ha qualify piga nyama chini....Ya tatu ni Tumbo mkuu...
Yeye ahana hata moja zaidi ana rangi nyeupe tuu basi...
Huyu bibi jau sana mkuu yaan ana mambo ya hovyo sana
Mkuu huyu bibi jau sana..Ha qualify piga nyama chini....
Kwani huyo Bibi katangaza dar yote? Mbona kwa mpalange hatunà hizi taarifa?Daaah mkuu nipo dar salamu hapa mkuu...
Mkuu hi changamoto imekua kubwa sasa
Mkuu hayajakukuta wewe ahahaha
Au bibi kautaka?.....Mkuu huyu bibi jau sana..
Sasa hapa nakula buyu ila naona ni bado anatangaza skendo kula anaekutana nae
Poor brain....poor thinkingKwema kwema wakuu...
Wakuu nimekuja tena maana hapa ndio hom sweet hom..
Sifanyi kitu hovyo bila maoni na ushauri wenu wakuu..
Sasa wakuu hii ishu ya kutoka na watu wazima sasa imeanza kunipa negative effects...
Bila kuzunguka wakuu kuna bibi mmoja hvi ameanza kutanganza kwa wadau na wamama wenzake kuwa mimi namtaka.. alafu yeye amenikata..
Sasa naanza kupata story kwa kila mtu nae kutana nae mtaani hapa kwamba mimi nimtaka huyo bibi wakati ni kitu hakipo kabisa aiseeeeee..
Sasa wakuu hii imeanza nialibia CV hapa mtaaa maana kila sister duu wemeanza kunitenga kwa kuzani mimi nakula yule bibi sijui ..
Afadhari angekua hata anajiweza au ana T 3 ila hana .
Wakuu naombeni ushauri huyu mtu ili asiendelee kunisambazia mbya nifanyaje maana nishamblok kila sehemu na wala siongei nae tena l...
Naona hiko kitendo cha mimi kukaza kuongea nae na yeye ameanza kuzusha mbaya aiseee....
Wakuu nafanyaje hapa..??
Manyanza
Angel Nylon
Mungu tena 🤔🤔,Mkuu siwezi tongoza Kibibi mie tena Mungu anisaidie nisije kuwaza hiko kitu
Anasubiri reaction yako ili ajue Kama anaweza endeleza uvumi.Daaah mkuu najaribu kufanya hv ila naona sasa anawambia mpaka vijana wa kiume wenzangu
TumboT1-Titi
T2-tako
T3- nikumbushe ya 3 mkuu naona nazeeka sasa