Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
African Life Assurance company limited inatangaza nafasi 50 za afisa mauzo(sales executives) kwa
matawi yake ya dar, arusha mwanza na zanzibar
sifa za mwombaji
..cheti chakidato cha nne au sita
...cheti cha diploma utawala wa biashara,masoko,mauzo,a mbadala
...cheti cha bima(COP) kinapendelewa
...uwezo wa kufanya hesabu kwa usahihi
...uwezo wa kufanya kazi tawi lililo karibu na makazi yake
TUMA MAOMBI KWA:
MENEJA RASILIMALI WATU NA UTAWALA,
AFRICAN LIFE ASSURANCE(T) LTD,
P.O BOX 22229,
MTAA WA OHIO , JENGO LA AMANI PLACE GHOROFA YA 9,
DAR ES SALAAM
EMAIL:recruitment@aflife.co.tz
au piga simu namba 022-2127151-4
deadline 5 december 2011
nb
tembelea "http://www.vijanatz.com/tz/jobs/wp-content/uploads/2011/11/110.jpg" ni image ya kuskan ndo maana nimeshindwa kukopi na kupesta huku inagoma ila kama uko seriouz hebu jaribu kuangalia mwenyewe hasa kwa mabo kama email na anuani isje kuwa kuna typing error afu ukawa ume send kwa mtu hewa..
matawi yake ya dar, arusha mwanza na zanzibar
sifa za mwombaji
..cheti chakidato cha nne au sita
...cheti cha diploma utawala wa biashara,masoko,mauzo,a mbadala
...cheti cha bima(COP) kinapendelewa
...uwezo wa kufanya hesabu kwa usahihi
...uwezo wa kufanya kazi tawi lililo karibu na makazi yake
TUMA MAOMBI KWA:
MENEJA RASILIMALI WATU NA UTAWALA,
AFRICAN LIFE ASSURANCE(T) LTD,
P.O BOX 22229,
MTAA WA OHIO , JENGO LA AMANI PLACE GHOROFA YA 9,
DAR ES SALAAM
EMAIL:recruitment@aflife.co.tz
au piga simu namba 022-2127151-4
deadline 5 december 2011
nb
tembelea "http://www.vijanatz.com/tz/jobs/wp-content/uploads/2011/11/110.jpg" ni image ya kuskan ndo maana nimeshindwa kukopi na kupesta huku inagoma ila kama uko seriouz hebu jaribu kuangalia mwenyewe hasa kwa mabo kama email na anuani isje kuwa kuna typing error afu ukawa ume send kwa mtu hewa..