nimekusoma mkuu...issue ni msaada Wa yeyyote anayefhamiana na headmaster husika...swala la chambi so tatizo mkuu...Shule za vipaj tz zilishakufa sio ka zaman enz zetu! siku izi zimebaki
- Tabora boys
- kibaha
- Elboru
- Mzumbe
Na hapo kuingia sio kama akuchaguliwa na wewe unadai nafa, onana na headmaster wa shule usika huku mkono ukiwa umeweka mfukoni kwa ajil ya soda mezani hapo kwisha habar we ni kumtupa kijana aendelee kupga msul kboiboi hata asipooga wik nzma sawa tu.
nimekusoma mkuu...issue ni msaada Wa yeyyote anayefhamiana na headmaster husika...swala la chambi so tatizo mkuu...