Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,456
- 1,673
Wakuu nahitaji msaada wa nafasi ya form one government school iwe Arusha au Moshi na iwe shule ya vipaji maalum boarding...kijana wangu Wa kiume kafaulu vizuri kwa jumla ya max 208 lakini kapangiwa shule za Kata...kwa yeyote anayeweza kunisaidia anipm tubonge mpango mzima...nawakilisha