Nafasi ya kaz yenye mshahara mnono

kaazi kweli kweli. lakini hata na sisi tuliosoma miaka hiyo viboom vilikuwa vinatufanya tujione bill gates. Kila la kheri dogo natumai utapata tu. ingia mpaka kwa wale wanaorecruit wafanyakazi kama za mfanyakazi unayemhitaji utapata tu
 
Me nadhan huyu c mtu makini kwenye mambo ya msingi mtu analeta utoto JF wangekuwa wanaaasess threads za mtu kwa mwezi then watu kama hawa wanakuwa disqualied ni hayo Tuuu!
 
Jeuri ya boom hiyo..baada ya miezi 3...mbwe mbwe zitaisha hizo.
 
hii kali sijaona bado but kama unauwezo well not jinafasi maisha yenyewe mafupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…