Nafasi ya kazi: IT Assistant...!

jambo1

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2009
Posts
241
Reaction score
29
Wakuu Jamaa ameniambia kuwa ameshapokea maombi ya kutosha..,so next time kukiwa na nafasi tutajuzana..,tuendelee kushirikiana..!
Wakuu..,poleni na Msiba wa Kamanda Regia..!
Tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu..!
Kuna jamaa angu yupo kampuni flani ameniomba nimtafutie mtu mwenye Certificate ya Computer Science au IT..,co kama kuna mdau yeyote anaqualify...,tuwasiliane...,via tambikagani@yahoo.com
Kila la kheli..!
 
mkuu eneo la kazi ni wapi? wengine tupo mikoani.....angalizo kwa atakayetuma email asiweke . baada ya .com
 
mkuu eneo la kazi ni wapi? wengine tupo mikoani.....angalizo kwa atakayetuma email asiweke . baada ya .com
Poa kaka ..,ni dar..so kama upo pande za dar poa..!
 
Mdau kamili nipo hapa, je yupo dar na tumtumie cv kwenye hiyo mail.. au tufate procedure zipi??
 
mkuu hii ndo ile ya pact tanzania nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…