Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

Hicho kipato cha 1M mpaka 3M kwa mwezi mnaonaje mkachujua wenyewe? 😀 hivi mnaona jobless wajinga sana au? Kiufupi hapo wewe ndiye muombaji unatakiwa utume maombi upate msaada, upate mtu wa kupiga hizo simu bure kila siku na kutumia bundle lake kila siku kukuuzia bidhaa yako😀
😂 Si kila mtu ana stamina ya kushughulika na hela kubwa – wengine wamezoea maisha ya 'salio halitoshi.'

Hii fursa ni kwa wale wenye malengo makubwa, sio wanaolalamika kwenye comments wakisubiri kazi ije kama sadaka. 😏
 
Hakuna kazi za kipumbavu na hutakiwi kuzisogelea kama za commission

Inakuhitaji uwe tapeli na mtu unayejua kuupepeta mdomo sana
"😂 Bro, kama unadhani commission ni utapeli, ni wazi mshahara wako umekaa kama 'subscription' ya shida.

Huku hatupepesi mdomo – tunapeleka pesa benki. Wenye mindset ya ‘kazi za kipumbavu’ ndio huachwa na change ya mafanikio. 😏"
 
"😂 Bro, kama unadhani commission ni utapeli, ni wazi mshahara wako umekaa kama 'subscription' ya shida.

Huku hatupepesi mdomo – tunapeleka pesa benki. Wenye mindset ya ‘kazi za kipumbavu’ ndio huachwa na change ya mafanikio. 😏"
Cost za vocha mnazicover wenyewe? Au employee anatumia bando lake kuwasiliana na kupost
 
Back
Top Bottom