Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

😂 Si kila mtu ana stamina ya kushughulika na hela kubwa – wengine wamezoea maisha ya 'salio halitoshi.'

Hii fursa ni kwa wale wenye malengo makubwa, sio wanaolalamika kwenye comments wakisubiri kazi ije kama sadaka. 😏
 
Hakuna kazi za kipumbavu na hutakiwi kuzisogelea kama za commission

Inakuhitaji uwe tapeli na mtu unayejua kuupepeta mdomo sana
"😂 Bro, kama unadhani commission ni utapeli, ni wazi mshahara wako umekaa kama 'subscription' ya shida.

Huku hatupepesi mdomo – tunapeleka pesa benki. Wenye mindset ya ‘kazi za kipumbavu’ ndio huachwa na change ya mafanikio. 😏"
 
Cost za vocha mnazicover wenyewe? Au employee anatumia bando lake kuwasiliana na kupost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…