Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video na Mbunifu wa Michoro (Video content creator and graphics designer)

Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video na Mbunifu wa Michoro (Video content creator and graphics designer)

ramskany

Member
Joined
Jun 19, 2024
Posts
12
Reaction score
14
Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video (Video content creator)

Tunatafuta mbunifu mwenye kipaji na ari ya kazi kujiunga na timu yetu.

Majukumu:
1. Kuunda na kuhariri video za masoko na mitandao ya kijamii.
2. Kubuni michoro ya matangazo na machapisho.
3. Kushirikiana na timu ya masoko.
4. Kubuni mawazo mapya ya maudhui.

Mahitaji:
1. Uzoefu katika uundaji wa video
2. Ujuzi wa Adobe Creative Suite (Photoshop, Illustrator, Premiere Pro, After Effects).
3. Ujuzi wa kutumia kamera za video.
4. Uwezo wa kufanya kazi kwa ushirikiano na chini ya shinikizo.
5. Ufahamu wa mitindo ya kisasa ya kidijitali na mitandao ya kijamii.

Sifa Zaidi:
1. Uzoefu na timu ya masoko.
2. Uwezo wa kuwasiliana kwa Kiswahili na Kiingereza.
3. Ujuzi wa uhuishaji ni faida.

Malipo na Faida:
  • Mshahara: Tsh 250,000.
  • Chakula: Bure wakati wote wa kazi.
  • Bonasi kwa utendaji mzuri.

Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma CV na sample ya kazi kupitia WhatsApp+255657151577 kabla ya 30/06/2024.
 
Video content creator and graphics designer Huyu n Mtu mmoja au wawili tofauti? 😔
 
Kwa mshahara huo, atakaekuja kufanya hiyo kazi anaidhalilisha taaluma yake. Acheni utani😁
 
Nafanya zote hizo kwa ubora mkubwa na wa kisasa lakini Salary ni taz hapo unafanya kazi za two different professional.
 
Hela hiyo tunaweza kufanya kazi ila part time na sio full time ofisini. Inawezekana?
 
Hii profession inakuja kwa kasi sana nowadays vijana nadhani tunapaswa kuchangamkia fursa hizi
 
Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video (Video content creator)

Tunatafuta mbunifu mwenye kipaji na ari ya kazi kujiunga na timu yetu.

Majukumu:
1. Kuunda na kuhariri video za masoko na mitandao ya kijamii.
2. Kubuni michoro ya matangazo na machapisho.
3. Kushirikiana na timu ya masoko.
4. Kubuni mawazo mapya ya maudhui.

Mahitaji:
1. Uzoefu katika uundaji wa video
2. Ujuzi wa Adobe Creative Suite (Photoshop, Illustrator, Premiere Pro, After Effects).
3. Ujuzi wa kutumia kamera za video.
4. Uwezo wa kufanya kazi kwa ushirikiano na chini ya shinikizo.
5. Ufahamu wa mitindo ya kisasa ya kidijitali na mitandao ya kijamii.

Sifa Zaidi:
1. Uzoefu na timu ya masoko.
2. Uwezo wa kuwasiliana kwa Kiswahili na Kiingereza.
3. Ujuzi wa uhuishaji ni faida.

Malipo na Faida:
  • Mshahara: Tsh 250,000.
  • Chakula: Bure wakati wote wa kazi.
  • Bonasi kwa utendaji mzuri.

Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma CV na sample ya kazi kupitia WhatsApp+255657151577 kabla ya 30/06/2024.
Ikitokea nafasi tena utanishtua namba yangu ni 0621575812 ukipiga sawa ukituma SMS sawa ata whatssap
 
Back
Top Bottom