AhsanteKaka zako tumehitimu mwaka wa 6 sasa hatujapata hizo nafasi, cha msingi soma kwanza mdogo wangu umalize.
Habari ndugu zangu watanzania
Mi ni kijana umri miaka 25
Nasoma afya ya wanyama chuo cha kilimo na mifugo kaole bagamoyo mwaka wa pili
Natafuta nafasi ya kujitolea kwenye sekta ya afya ya wanyama na uzalishaji
Muda ni miezi miwili tu kuanzia september mpaka november
Ahsante kakaKwa nafasi hizi nenda kwenye makampuni moja kwa moja kama vile interchick ni rahisi kupata kwa njia hizo, ningekua kwenye mifugo ningekubeba bahati mbaya niko kwenye kilimo. Nimependa sana moyo wako [emoji1376][emoji1376][emoji1376]
mkuu tupeane hzo fursa za kilimo kaka niko dar kwa sasaKwa nafasi hizi nenda kwenye makampuni moja kwa moja kama vile interchick ni rahisi kupata kwa njia hizo, ningekua kwenye mifugo ningekubeba bahati mbaya niko kwenye kilimo. Nimependa sana moyo wako [emoji1376][emoji1376][emoji1376]
Habari ndugu zangu watanzania
Mi ni kijana umri miaka 25
Nasoma afya ya wanyama chuo cha kilimo na mifugo kaole bagamoyo mwaka wa pili
Natafuta nafasi ya kujitolea kwenye sekta ya afya ya wanyama na uzalishaji
Muda ni miezi miwili tu kuanzia september mpaka november
kaka kama connection ipo nijulishe mm badoUlifanikiwa kupata nafasi hiyo? Umeshaajiriwa kwa sasa?
Ulifanikiwa kupata nafasi hiyo? Umeshaajiriwa kwa sasa?
kaka kama connection ipo nijulishe mm bado
ulipata wap kakaNikutafuta tu
Mi nilikua natafuta tu nafas ya kujitolea nipate uzoefu
Nilibahatika kupata sema kikubwa ni uvumilivu na kumuomba Mungu
Tafuta usichoke
Ndio, namshukuru Mungu nilipata, nipo turian vijijin sana huku ila kaz inaendelea