B Brigedia Chan-ocha JF-Expert Member Joined Mar 7, 2014 Posts 1,353 Reaction score 2,846 Oct 8, 2020 #1 Wanahitajika wadada wawili wenye ujuzi wa kusuka mitindo yote ukiwemo mtindo wa "YEBO" saloon ipo Mwanza -Nyamanoro, mshahara ni mzuri, unapewa, nauli, na pesa ya chakula tofauti na mshahara. Kwa wahitaji ni-PM. Karibuni Sana.
Wanahitajika wadada wawili wenye ujuzi wa kusuka mitindo yote ukiwemo mtindo wa "YEBO" saloon ipo Mwanza -Nyamanoro, mshahara ni mzuri, unapewa, nauli, na pesa ya chakula tofauti na mshahara. Kwa wahitaji ni-PM. Karibuni Sana.
moyafricatz JF-Expert Member Joined Nov 27, 2015 Posts 2,904 Reaction score 4,902 Oct 8, 2020 #2 Weka namba ya simu ikikupendeza. Pm sio kuzuri sana.
B Brigedia Chan-ocha JF-Expert Member Joined Mar 7, 2014 Posts 1,353 Reaction score 2,846 Oct 8, 2020 Thread starter #3 moyafricatz said: Weka namba ya simu ikikupendeza. Pm sio kuzuri sana Click to expand... OK, Kwa aliye tayari anicheki kwa 0620 399 060
moyafricatz said: Weka namba ya simu ikikupendeza. Pm sio kuzuri sana Click to expand... OK, Kwa aliye tayari anicheki kwa 0620 399 060
Samwel Jr JF-Expert Member Joined May 9, 2020 Posts 1,311 Reaction score 935 Oct 9, 2020 #4 Tangazeni na vijana wa kiume.