SAMORE
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 400
- 540
JOB VACANCY...
Je,unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 900,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi ipo. Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE &
ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor
degree}
3.Hakuna uzoefu unaohitajika
4.Umri chini ya miaka 45
Kama unahitaji
hiyo kazi,basi usijali.Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta
maana hata mimi ninatafuta kazi kama
hiyo
Je,unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 900,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi ipo. Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE &
ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor
degree}
3.Hakuna uzoefu unaohitajika
4.Umri chini ya miaka 45
Kama unahitaji
hiyo kazi,basi usijali.Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta
maana hata mimi ninatafuta kazi kama
hiyo