Nafasi ya kuwa distributor

Nafasi ya kuwa distributor

Jamesmkude

Member
Joined
May 18, 2015
Posts
60
Reaction score
69
Salam kwenu.
Nina Ndg yangu ana mtaji wa 70m anatamani sana kupata biashara ya kuwa wakala wa bidhaa inayofanya vizuri Sokoni. Naomba msaada wa mawazo. Anaishi Dar.
 
Mwambie ajaribu kanda ya ziwa based in mwanza, kuhusu bidhaa nitamuunganisha na kampuni nayofanyia kazi.
 
Mwambie ajaribu kanda ya ziwa based in mwanza, kuhusu bidhaa nitamuunganisha na kampuni nayofanyia kazi.
Pesa yote hiyo unashindwa kuitumia. Kwani umeipataje? Umeiokota barabarani. Nunua ng'ombe kwa wasukuma wanenepeshe. Kauze sokoni soko la ng'ombe ni kubwa sana na linalipa kwa haraka.
 
Pesa yote hiyo unashindwa kuitumia. Kwani umeipataje? Umeiokota barabarani. Nunua ng'ombe kwa wasukuma wanenepeshe. Kauze sokoni soko la ng'ombe ni kubwa sana na linalipa kwa haraka.
Ushauri mzuri pia.
 
Mwambie ajaribu kanda ya ziwa based in mwanza, kuhusu bidhaa nitamuunganisha na kampuni nayofanyia kazi.
Asante kwa ushauri. Kwa kuwa amejikita zaidi Dar angependa kuendeleza biashara hapa.
 
Aje awe wakala wangu CEMENT YA DANGOTE.... 0764 468 469. INATOKA SANAA
 
Pesa yote hiyo unashindwa kuitumia. Kwani umeipataje? Umeiokota barabarani. Nunua ng'ombe kwa wasukuma wanenepeshe. Kauze sokoni soko la ng'ombe ni kubwa sana na linalipa kwa haraka.
uko wapi kiongozi?
 
Ajaribu pia kuwa wakala wa gesi na mitungi kama atakuwa tayari
 
Pesa yote hiyo unashindwa kuitumia. Kwani umeipataje? Umeiokota barabarani. Nunua ng'ombe kwa wasukuma wanenepeshe. Kauze sokoni soko la ng'ombe ni kubwa sana na linalipa kwa haraka.
Ni kweli mkuu watu wako wenye pesa lakini hawana mkono wa biasharra .mmoja wapi mie . Natafuta biashara .nawe invest up to 150 mil.nikipata .biashara ya uhakika na marajio yake
 
Back
Top Bottom