Hellow !!
Tatizo la ajira nchini ni kubwa, Si vyema nafasi iliyoachwa na Mzee Kinana iendelee kuwa wazi Hadi sasa,
Mtaani kunajengeka taswira mbaya kwamba tatizo la ajira nchini halizingatiwi Kwa kuacha wazi nafasi Ya Makamo Mwenyekiti upande wa Tanganyika Hadi sasa kana kwamba hayupo Mtanzania wa kuijaza nafasi hiyo.
Ikijazwa nafasi hiyo, Mwenyekiti wa CCM atapata mshauri wa kusaidia baadhi ya changamoto ndani ya uongozi kuelekea uchaguzi mkuu.
Ni hayo tu,
Karibuni 🙏
Tatizo la ajira nchini ni kubwa, Si vyema nafasi iliyoachwa na Mzee Kinana iendelee kuwa wazi Hadi sasa,
Mtaani kunajengeka taswira mbaya kwamba tatizo la ajira nchini halizingatiwi Kwa kuacha wazi nafasi Ya Makamo Mwenyekiti upande wa Tanganyika Hadi sasa kana kwamba hayupo Mtanzania wa kuijaza nafasi hiyo.
Ikijazwa nafasi hiyo, Mwenyekiti wa CCM atapata mshauri wa kusaidia baadhi ya changamoto ndani ya uongozi kuelekea uchaguzi mkuu.
Ni hayo tu,
Karibuni 🙏