Pre GE2025 Nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM ijazwe kutatua changamoto ya ajira nchini

Pre GE2025 Nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM ijazwe kutatua changamoto ya ajira nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna uwezekano hiyo nafasi haina umuhimu!
Ni kupena gap tu,ifutwe,itakiokolea chama gharama kubwa
 
Nawaza nje ya box. Labda hiyo nafasi imewekwa wazi kwa ajili ya mtu toka upinzani atakayekubali kulamba asali.
Wanaotoka upinzani ni sawa na ng'ombe aliyekatwa mkia. Hawawezi kumpa mtu wa kuja nafasi kubwa na nyeti kama hiyo ya Makamo mwenyekiti. Akina Lucas Mwashambwa na wenzake wa kufanana naye, hicho cheo harufu yake tu wanaisikia kwa mbali sana, sembuse hao wanaonunuliwa kama bidhaa sokoni. CCM ina wenyewe. Hao wanaounga mkono juhudi, wataambulia tu Ukuu wa Wilaya au anayebahatika anapewa Ukuu wa Mkoa.
 
😂😂😂 sema una hoja usikilizwe, kama wameshindwa kupata mtu sahihi hata kina Lucasi wameshindwa basi waitangaze kama nafasi ya ajira watanzania tutume maombi kuishindania.
Nafasi zinazohitajika kujazwa na Watanganyika zinampa mteuaji headache, manake hawajui vizuri tofauti na wa upande wa pili... lakini pia Acha waiongoze CCM wenyewe kwanza Bila Mtanganyika kwenye Cheo cha kiti ili tuone itakuwaje..manake sometimes ni Bora kuwa na viongozi wakuu wenye mrengo mmoja kuongoza Taasisi kubwa kama CCM Bila input ya walio wengi.
 
Hahaha 😂 umefurahisha Sana. Niliposoma Kichwa cha uzi nikadhani ofisi ya màkamu mwenyekt wa CCM Bara inahusika na ajira. Ila hata iyo nafasi ingelegeza kama ngumu ya Bomu Hili la ajira.
 
Back
Top Bottom