Umesema kweli dada'angu, nina wifi yangu huyo yupo home yaani siku akiamka saa 2 ujue kuna maajabu! Yeye mida yake ni saa 5 ndo anatoka chumbani kwake , chakula apikiwe ye kupika mpaka ajisikie!! Nguo zikichafuka utaona anawaita madogo ndo wafue yeye huyoo saluni! Dah......huwa namuonea huruma kaka'angu aisee!
Hata mimi naona ni hivo tu. Kuna watu wanatoa mifano ya roho mbaya out of nowhere ila ukichunguza utaona tu kuna perception ya wrong wealth repartition hapo. wifi anaweza kua na pato lake ila kwa akili yake yeye pato la kaka ni la familia nzima (u-bin) ila ya kwake yeye ni yake (na mume wake, if applicable).
Akikuta umeng'ara anajua ni hela za kaka yao, hence hela yao.
Umesema kweli dada'angu, nina wifi yangu huyo yupo home yaani siku akiamka saa 2 ujue kuna maajabu! Yeye mida yake ni saa 5 ndo anatoka chumbani kwake , chakula apikiwe ye kupika mpaka ajisikie!! Nguo zikichafuka utaona anawaita madogo ndo wafue yeye huyoo saluni! Dah......huwa namuonea huruma kaka'angu aisee!
Si ndio umaskini wenyewe? Itakuaje nyinyi mnakula kama inavo takiwa (balanced meal, regular meal) alafu uanze kutaka kujua jirani kala nini? yaani umelelewa katika mazingira ya umasikini, alafu na wewe mwenyewe unaendelea kua na akili za kimasikini! Unamtegemea baba for the first 25 years, alafu unamtegemea kaka (coz baba kazeeka) alafu unamtegemea mume+kaka, alafu unamtegemea buzi, unamtegemea boss etc.No dignity at all.Partly yes,
lakini pia na malezi yanachangia
kama umekulia kwenye mmazingira ya kuchunguza jirani kala nini, kavaa nguo ya sh. Ngapi, unakua ukidhani huo ndio mtindo wa maisha.
Ndugu yako awe wa kike au kiume akioa au kuolewa hicho kitabia lazima utakipeleka na kwenye nyumba ya ndugu yako.
kuna mdada mmoja kaana hela, tena hela nzuri mno.
Lakini ni mshari wa ajabu.
Hao wifi zake na shemeji zake wanaipata.
Anagombana hata akiona wifi/mdogo wake kanunuliwa poda ya Mac na mumewe
eti ansema, nao wanajidai kupanda bei, wanapaka Mac wakati walikuwa wamezoea vestline.
Huyo naongelea mtu mwenye firm kubwa hapo Dar.
mimi kama kaka yako Husninyo nakujibu
mke wangu lazima 'ajimwage mwage nyumbani' kwake kama wewe unaona dharau tafuta nyumba yako...
na kama unaishi nyumbani kwangu ambako mke wangu ndie malkia wa nyumba
lazima habari zako zote azijue,usije kupewa mimba ukashindwa kusoma nikapoteza pesa nazotumia kukusomesha...
misiba na wagonjwa hawezi kwenda bila mimi kumruhusu....so sio kosa lake
na sio kila msiba unakwenda.....utaenda misiba mingapi mjini hapa....?.
ni lazima ajioneshe ili awaoneshe wale waliosema 'ningeshindwa kumtunza na kumpa furaha' how wrong walikosea
so muache aringe na kujionesha ni haki yake
na kuhusu nyinyi dada zangu kuja nyumbani..
hiyo ndo chanzo cha umbea na majungu....mimi mwenyewe sitaki...
mkiwa na shida mnifuate oficin....mke wangu ana haki ya kulala mmchana na kutazama tamthilia bila bughudha
na nyinyi mna haki hizo majumbani mwenu sawa????
so now umenisikia.......i hope utanielewa...
Sasa kakondoo hapo si kwake jamani?
Kama amka yake saa tano haimsumbui mume wake (si ajabu anasupport) kwanini we umkandie?
hahahaha! Baada ya kusikia hayo dada yako nasema tusijuane wakati wa shida wala raha. Nyumbani kwako siji na kwangu pia marufuku. Shida zangu nitakufa nazo na zako kufa nazo.
Umesema kweli dada'angu, nina wifi yangu huyo yupo home yaani siku akiamka saa 2 ujue kuna maajabu! Yeye mida yake ni saa 5 ndo anatoka chumbani kwake , chakula apikiwe ye kupika mpaka ajisikie!! Nguo zikichafuka utaona anawaita madogo ndo wafue yeye huyoo saluni! Dah......huwa namuonea huruma kaka'angu aisee!
Umesema kweli dada'angu, nina wifi yangu huyo yupo home yaani siku akiamka saa 2 ujue kuna maajabu! Yeye mida yake ni saa 5 ndo anatoka chumbani kwake , chakula apikiwe ye kupika mpaka ajisikie!! Nguo zikichafuka utaona anawaita madogo ndo wafue yeye huyoo saluni! Dah......huwa namuonea huruma kaka'angu aisee!
Umesema kweli dada'angu, nina wifi yangu huyo yupo home yaani siku akiamka saa 2 ujue kuna maajabu! Yeye mida yake ni saa 5 ndo anatoka chumbani kwake :
Kaka yako alifanya kazi usiku mzima, mwacheni apumzike, anavuta nguvu kwa kazi ya next round!
chakula apikiwe ye kupika mpaka ajisikie!!!
Kaka yenu hataki ajikate au aungue, mwacheni aringe
Nguo zikichafuka utaona anawaita madogo ndo wafue yeye huyoo saluni!
Kaka yenu anataka mikono laini laini, sio ile migumu ya sugu. pia anataka nywele na kucha safi kila wakati...
Dah......huwa namuonea huruma kaka'angu aisee!
Mwenyewe karidhikaaaaa, nyinyi ndio mnakaa mnasononeka.
hahahaha! Baada ya kusikia hayo dada yako nasema tusijuane wakati wa shida wala raha. Nyumbani kwako siji na kwangu pia marufuku. Shida zangu nitakufa nazo na zako kufa nazo.
Sasa kakondoo hapo si kwake jamani?
Kama amka yake saa tano haimsumbui mume wake (si ajabu anasupport) kwanini we umkandie?
mpaka dada waje kuleta maneno kuna jambo moja hapo
shule ndogo na kukosa kazi ya kufanya.......
ukitaka kumlinda mkeo,somesha dada zako
hakikisha wanapata kazi za maana.......
na somesha mkeo pia ikibidi........
Mamie, ugali wa shkamoo una masharti yake! Sasa nyie mpo hapo na hakuna housigeli wifi yenu apike na kufua wa nini? Kama mumewe hana shida haiwahusu! Kama mnajua ufundi wa ndoa si mkaolewe mtie ufundi kwenye majumba yenu? Mimi namheshimu wifi yangu, mashallah nae ananiheshimu! Na mjikomboe mtoke kwa kaka yenu tuje tuone mlivyo wajuzi! Hela ya saluni hajakuomba wewe, unakereka ili iweje? Kama nyumba chafu ni yake,sio yako! Mi mtu akigombana na wifi yake huwa namshangaa sana kwa kweli!
Kuna watu wengi sana humu wametokea katika extended families. Kama sio wazazi wao walilea watoto wa ndugu basi wao walilelewa kwa ndugu. Nashangaa mnavyosema hamtotaka ndugu kisa mkeo hataki. Lol. Kwahiyo kama mkeo alikukuta una majukumu ya kusomesha watoto wa dada au kaka yako ambao wameshafariki, utawatelekeza watoto kisa mkeo hataki? Huo ni upuuzi.
Watoto ni watoto, kama ni lazima wakae hapo wanaweza wakaishi kwa masharti, heshima muhimu. Ila mtu mzima ni ngumu kuanza kumpangia kazi, muda wa kuamka, kumnyang'anya remort uangalie taarifa ya habari wakayi yeye anataka tamthilia, kumweka sawa anapoanza kulalamika kwanini kunapikwa maharage badala ya nyama wakati pesa ipo (japo sio yake) n.k. Na ndio maana ni muhimu kila mtu atafute kwake ili aweze kuishi vile apendavyo bila kukera ama kukerwa na wengine.Kuna watu wengi sana humu wametokea katika extended families. Kama sio wazazi wao walilea watoto wa ndugu basi wao walilelewa kwa ndugu. Nashangaa mnavyosema hamtotaka ndugu kisa mkeo hataki. Lol. Kwahiyo kama mkeo alikukuta una majukumu ya kusomesha watoto wa dada au kaka yako ambao wameshafariki, utawatelekeza watoto kisa mkeo hataki? Huo ni upuuzi.
Mume atawezaje ku-exercise nafasi yake wakati tayari wote wawili mme na mke wana nafasi sawa kwenye ndoa?
Haki za wanawake.
Kama mke ana nafasi sawa na mme basi na atatue hilo pia.
My stand: haki za wanawake inachochea migogoro ya ndoa.
BAK ndio maana hodi hodi zinatakiwa zihesabiwe. Unajua ukienda kwa mtu ukalala siku mbili anaweza hata akajitahidi kuamka mapema na kukupikia hata kama sio kawaida yake, ila hawezi kukufanyia hivyo mwezi mzima. Ratiba yake ni yake kwasababu yuko kwake na yeye ndie mwamuzi, mwenye haki ya kulalamika ni mke/mume wake pekee....Mara nyingi ugomvi unasababishwa na mambo ya kufuatana fuatana huyu mbona anafaidi sana kwa kaka yetu, mbona ananunuliwa sana nguo, viatu, kanga, vipodozi vya bei mbaya, mbona wao wanakula vizuri sana kuliko sisi mbona huyu wifi hafanyi hiki au kile kwa kaka yetu mvivu sana huyu wifi yetu maana kila siku kaka anakula chakula kinachopikwa na HG. Matokeo ya haya ndiyo mwanzo wa varangati na kutoelewana kwa mawifi. Wangenyamaza kimya na kutotaka kujua undani wa kila kitu kinachoendelea kati ya kaka yao na mke wake labda matatizo mengi sana yangeepukwa.
...Mara nyingi ugomvi unasababishwa na mambo ya kufuatana fuatana huyu mbona anafaidi sana kwa kaka yetu, mbona ananunuliwa sana nguo, viatu, kanga, vipodozi vya bei mbaya, mbona wao wanakula vizuri sana kuliko sisi mbona huyu wifi hafanyi hiki au kile kwa kaka yetu mvivu sana huyu wifi yetu maana kila siku kaka anakula chakula kinachopikwa na HG. Matokeo ya haya ndiyo mwanzo wa varangati na kutoelewana kwa mawifi. Wangenyamaza kimya na kutotaka kujua undani wa kila kitu kinachoendelea kati ya kaka yao na mke wake labda matatizo mengi sana yangeepukwa.