Hehehehe. . . dearest nimeona nimwambie ajue maana alishadhani eti unamtokea kisirisiri.Lolzz. . . .
Sasa Mbu hao wakaka watetewe kwa lipi?
Lizzy,
Nitatafuta muda nipitie hii mada,
Ila kwa ufupi hayo unayoongelea yanaelezea aina ya mwanamume.....A real husband siku zote hawezi kuruhus mtu yeyote (hata mama yake mzazi) amdhalilishe mke wake!
Heri ya mwaka mpya.....tuonane next time!!
Babu DC!!
....kwahiyo mkikuta kaka yenu anapigishwa deki na mbeleko ya mtoto mgongoni ilhali mke yupo barazani anapiga soga na shoga zake ni sawa tu mawifi wasiwe wakali?
Hehehehe. . . dearest nimeona nimwambie ajue maana alishadhani eti unamtokea kisirisiri.Lolzz. . . .
...lol...yaani kwa umri huo haijawahi kukutokea kumtetea kaka yako, sio lazima awe tumbo moja, hata cousin?
Lizzy,
Nitatafuta muda nipitie hii mada,
Ila kwa ufupi hayo unayoongelea yanaelezea aina ya mwanamume.....A real husband siku zote hawezi kuruhus mtu yeyote (hata mama yake mzazi) amdhalilishe mke wake!
Heri ya mwaka mpya.....tuonane next time!!
Babu DC!!
....kwahiyo mkikuta kaka yenu anapigishwa deki na mbeleko ya mtoto mgongoni ilhali mke yupo barazani anapiga soga na shoga zake ni sawa tu mawifi wasiwe wakali?
Lizzy,
Nitatafuta muda nipitie hii mada,
Ila kwa ufupi hayo unayoongelea yanaelezea aina ya mwanamume.....A real husband siku zote hawezi kuruhus mtu yeyote (hata mama yake mzazi) amdhalilishe mke wake!
Heri ya mwaka mpya.....tuonane next time!!
Babu DC!!
....kaka, a real husband na a real man ni watu wawili tofauti bana, au nini mtazamo wako juu ya vyeo hivi viwili?
Tatizo hili ni common katika familia nyingi za kwetu ! The real way to avoid it, it's better to stay far na wasababishao conflict.
Mf. Mama wa mme akiishi kwenye nyumba ya mwanae akiona ugali umetupwa huona nguvu za mwanae hazithaminiwi, haulizi kama ulichacha au laa.
Ndugu wa mume haiyumkiniki ukawapiga marufuku wasiende kwa ndugu yao, au mama asimtembelee mwanae. Ila hawatakiwi wakae kwa muda mrefu.
Ndio mkioa muwe mnahama sio mnabaki mtaa mmoja na ndugu hata chai wanataka kuja kunywa kwenu kila asubuhi.
Hahahaha. . . . kwahiyo unanipinga kwa nguvu zako zote?
hahaha! Sitaki kuwekewa masharti. Bora tusijuane nijue moja kuliko kuishi kwa style hiyo.