Nafasi ya MUUZA DUKA

Nafasi ya MUUZA DUKA

MUREFU

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,331
Reaction score
352
Awe na uwezo wa kupga hesabu na anaexprience ya kuuza cjin ya miaka 5 na hajawah kuiba chochote dukan wala kuonga na awe na degree ya account
 
Heee! Muuza duka awe na degree tena ya accounts!
 
Bora mmemuuliza manake naona hakuna maana ya kuwa na degree sasa?duka gani?Murefu wenzio wako serious.........LOL
 
Bora mmemuuliza manake naona hakuna maana ya kuwa na degree sasa?duka gani?Murefu wenzio wako serious.........LOL

hata hao wazungu kuuza duka hawaulizi degree yako,wanaangalia mvuto ulonao tu
 
Duu hii dharau sasa...Muuza duka awe na degree...Inabidi saa zingine tuwe serious kidogo!
 
kwa mufupi juu ya nini pale!!!

images
 
Awe na uwezo wa kupga hesabu na anaexprience ya kuuza cjin ya miaka 5 na hajawah kuiba chochote dukan wala kuonga na awe na degree ya account

Angalia sana kutafuta muuza mwenye experience....unaweza pata mwenye experience ya kukuibia. Kazi kama ya duka haihitaji experience yoyote kwa mtazamo wangu, kigezo cha kujua hesabu tu kinatosha..... KUNA WALAKINI WA KUPATA SIYE NDIYE.....

Hayo ni maoni yangu tu lakini
 
Angalia sana kutafuta muuza mwenye experience....unaweza pata mwenye experience ya kukuibia. Kazi kama ya duka haihitaji experience yoyote kwa mtazamo wangu, kigezo cha kujua hesabu tu kinatosha..... KUNA WALAKINI WA KUPATA SIYE NDIYE.....

Hayo ni maoni yangu tu lakini

unachokisema ni kwel ila wanaJF niliwah kwenda kariakoo kwny maduka ya hardware wakaanza kuniuliza mambo hayo nilio andika hapo juu waliwah kutoa kwny gazet la nipashe mm nikaona bora nikazuge wakaanza kuniletea michongo co ndo wanataka vgezo hvyo je wewe utafanyeje?
 
Back
Top Bottom