Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametisha sana kwa kweli.utaenda kuchomesha mkuu🤣🤣🤣unaweza kulipa watu mshahara marambilimbili kichwachako tunakijua humu jf
Tunaangalia status ya taasisi na uzito wa cheo. Daktari anaanza na gross ya Sh. 1,270,000Starting salary ya Daktari wa Tanzania aliyekaa Chuo miaka 5 ni Tsh ngapi?
Tuache dharau wadau. 🤣🤣
Sio much know,kufanya kazina mzungu tena muingereza sio kazi ndogo,unabanwa aswaaa,stress za kazi si mchezo hakuna kupumua,wanacgeza na KPI na KPA tu wanakufanyia assessment kila miezi sita,u fail to deliver you go,hiyo ni taasisi kubwa sana walitakiwa kulipa vizuriMuch Know! kama kawaida yenyu. 🤣🤣🤣
Acheni hizo wadau! Wacha watu tujitupe msitukatishe tamaa, wewe unalipwa Tsh ngapi?Hapana mkuu,yupo sahihi sana,mshahara huo ni mdogo sana,at least ingekuwa mara 2 yake sio mbaya
Nimeaply huko!!!naamini Kuna mengi ya kujifunza humor!hadi wewe? role gani huko serikalini kwako wanalipa hiyo salary?
Mshahara ni siri yangu,ila umepitwa kidogo sana na huoAcheni hizo wadau! Wacha watu tujitupe msitukatishe tamaa, wewe unalipwa Tsh ngapi?
Mdau 5.5M ni mara ngapi ya hiyo?Tunaangalia status ya taasisi na uzito wa cheo. Daktari anaanza na gross ya Sh. 1,270,000
Mimi mkulima kilimo pia ni kaziUtafiti unaonyesha watu wasiokuwa na kazi, ndio wanaongoza kuponda kazi zilizopo
Mwamba unapiga 6M?Mshahara ni siri yangu,ila umepitwa kidogo sana na huo
Mshahara wa Milioni 5 sio mdogoSio much know,kufanya kazina mzungu tena muingereza sio kazi ndogo,unabanwa aswaaa,stress za kazi si mchezo hakuna kupumua,wanacgeza na KPI na KPA tu wanakufanyia assessment kila miezi sita,u fail to deliver you go,hiyo ni taasisi kubwa sana walitakiwa kulipa vizuri
Kwa hiyo job description tena ubalozini sio fair,Mshahara wa Milioni 5 sio mdogo
Unatakiwa kulinganisha na benchmark/standard salary na sio madaktariMdau 5.5M ni mara ngapi ya hiyo?
Acheni hizo
We wa mchongo bana 🤣Unatakiwa kulinganisha na benchmark/standard salary na sio madaktari
Nani kasema? Ametumia vigezo vipi?We wa mchongo bana 🤣
No reference 🤣🤣Nani kasema? Ametumia vigezo vipi?
Kila la heri mdauNimeaply huko!!!naamini Kuna mengi ya kujifunza humor!
Mkuu acha hizoKwa hiyo job description tena ubalozini sio fair,