Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Unaambiwa katika kuhakikisha wanapambana na hali yao ya kujinusuru na kushuka daraja,wasije kuwachosha Wachezaji wao wa kikosi cha kwanza na/au kupata majeraha Jamaa waliteremsha kikosi cha vijana na bado Bi Hindu Sports Club iliyokuwa imesheheni wachezaji wa team ya Taifa ya Salum Mayanga (Kocha) wakalala 1-0.
Sent using Jamii Forums mobile app