Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

Basi watanzanzia mnajua nn kuhusu kupambana!! labda wivu, uzembe, uchawi na kupiga soga[emoji23][emoji23]
Mkenya ana survive popote pale as long as anapata mpunga wa maana
Mtanzania anafanikiwa vizuri sehemu yupo na peace of mind, yaani ndio mazingira tuliozoea kuishi na tunafanikiwa na akija kufanya kazi kwako sio kwamba wewe ndio lasted option kwamba ukizingua basi hatopata kwengine, never

Juzi tu hapa kuna wafanyakazi tuliwatoa mkoa fulani wa shamba kuangalia tu bwawa la samaki na drip irrigated farm walikua wanalipwa 300k na walikua wanapata huduma zote chakula, malazi na everything for free na hakukuwa na kazi ya kuchosha wala nini na wala hawasimamiwi ila basi tu sijui wamekutana na ndugu zao huku wamejuana wameshsuriana walivyoshauriana wameamua kuacha kazi kuendelea na michongo yao

So usifikiri kuna shida ya kazi kiviile, watanzania wanavyoishi ni tofauti na ninyi, ninyi mkitoka vijijini kwenu huko Nairobi ndio kila kitu na life lipo Nairobi tu, limited resources

Ndio maana mnaenda kwenye nchi za watu mpaka mnalogwa bado mnakomaa tu 😂😂😂😂
 
Mtanzania anafanikiwa vizuri sehemu yupo na peace of mind, yaani ndio mazingira tuliozoea kuishi na tunafanikiwa na akija kufanya kazi kwako sio kwamba wewe ndio lasted option kwamba ukizingua basi hatopata kwengine, never

Juzi tu hapa kuna wafanyakazi tuliwatoa mkoa fulani wa shamba kuangalia tu bwawa la samaki na drip irrigated farm walikua wanalipwa 300k na walikua wanapata huduma zote chakula, malazi na everything for free na hakukuwa na kazi ya kuchosha wala nini na wala hawasimamiwi ila basi tu sijui wamekutana na ndugu zao huku wamejuana wameshsuriana walivyoshauriana wameamua kuacha kazi kuendelea na michongo yao

So usifikiri kuna shida ya kazi kiviile, watanzania wanavyoishi ni tofauti na ninyi, ninyi mkitoka vijijini kwenu huko Nairobi ndio kila kitu na life lipo Nairobi tu, limited resources

Ndio maana mnaenda kwenye nchi za watu mpaka mnalogwa bado mnakomaa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe we kichwani mweupee, yani kw akili zako mtu kuenda kuhangaika nchi zngine ndio kukimbia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe we kichwani mweupee, yani kw akili zako mtu kuenda kuhangaika nchi zngine ndio kukimbia[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama mahitaji yote unayapata nchini kwako unaenda kuteseka kwenye nchi za watu ili iweje? 😅😅

Kufikiria kuondoka nchini na kwenda kutafuta ugenini maana yake all means failed nchini kwako, mtanzania aondoke aende kutafuta nje wakati wa nje kwa mamilioni wanatamani wangezaliwa Tanzania, huo ni uwendawazimu.

Ninyi wenye nchi mbovu ndio mnakimbilia kulogwa ugenini 😅😅😅
 
Sasa kama mahitaji yote unayapata nchini kwako unaenda kuteseka kwenye nchi za watu ili iweje? [emoji28][emoji28]

Kufikiria kuondoka nchini na kwenda kutafuta ugenini maana yake all means failed nchini kwako, mtanzania aondoke aende kutafuta nje wakati wa nje kwa mamilioni wanatamani wangezaliwa Tanzania, huo ni uwendawazimu.

Ninyi wenye nchi mbovu ndio mnakimbilia kulogwa ugenini [emoji28][emoji28][emoji28]
Heheee!!bado unazidi kuwehuka ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]

Manake naona unaandika upupu tu, emu rudia tena. Eti mtu kwenda kutafuta kwngine inamaana hko alikotoka pameshinda.

Jamani, jamani, jamani

Hizi ndio zile low IQ mazee
 
Wale jamaa wa UN na multinationals kama Toyota wamekimbia kwao kuja Africa[emoji23][emoji23]

Aisee wadanganyika ndio nchi yenye low IQ kabisa yani.
Heheee!!bado unazidi kuwehuka ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]
Manake naona unaandika upupu tu, emu rudia tena.eti mtu kwenda kutafuta kwngine inamaana hko alikotoka pameshinda..
Jamani, jamani, jamani
Hizi ndio zile low IQ mazee,
Wale wanakuja kuexpand already grown up businesses, sio ninyi waganga njaa msio na mbele wala nyuma 😅😅😅
 
Wale wanakuja kuexpand already grown up businesses, sio ninyi waganga njaa msio na mbele wala nyuma [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwn wakenya walioko tanzania nani kakwambia kwao hawana biashara zozote wanazoendesha..
 
Back
Top Bottom