Nafasi za chuo na mkopo kwa form for

mapengo junior

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,135
Reaction score
276
HABARI kama unae ndugu alie maliza form4 kuanzia 2009-2013 alie soma masomo ya sayansi (direct entery) ambae alipata Division 1,2 au 3 na angalau "C" moja kwenye masomo ya combination na "D" katika masomo mengine matatu kati ya Bios, Kemia, Fizikia, Elimu ya Lishe, Kilimo na Ufundi.

2.mwombaj mwenye sifa mbadala(equivalent) awe na ufaulu usiopungua kiwango cha D katika masomo ma3 kati ya Bios, Kemia, Fizikia, Elimu ya lishe, Kilimo na Ufundi, awe na astashahada (certificate) katika program za sayansi.

Mwambie aombe UDOM kwa mwaka wa masomo 2014/2015 utakao anza oktoba2014 kwa ajili ya kusoma Diploma ya ualimu wa sekondari na atapata mkopo wa ada, malazi, chakula, vitabu na viandikwa kutoka loan board(HESLB). Kwa maelezo zaid tembelea UDOM-WEB.

 

deadline ya kutuma maombi ni lini?
 

jinsi ya kutuma maombi ni kwa njia ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…