kampuni ndogo iliyoka Dar es salaam inatafuta watu watatu kujaza nafasi tatu za ulinzi.
sifa za muombaji
1.awe mwenye akili timamu.
2. awe na umri kuanzia miaka 18 na zaidi
3. awe amepitia mafunzo ya mgambo.
4. awe mwaminifu.
5. awe na wadhamini watatu ambao watakubali kuhushwa na upotevu wowote unaohusika nae.
6. awe na barua kutoka kwa mjumbe na serekali ya mtaa anapoishi.
7. awe mtu makini na mwenye kujali kazi
8. awe na picha mbili za passport, kitambulisho cha kura na namba ya simu ya
inayopatikana muda wote.
kwa yoyote mwenye sifa atume barua ya maombi na vivuli vya vyeti vyake
kwenye anuani hii
WINGETY GARAGE
Plot no.423, blockG, sum nujoma Rd, opposite - university Rd,
P.o.box 491, Dar es salaam.barua pepe: linessy@yahoo.com
Att: administrative officer.
sifa za muombaji
1.awe mwenye akili timamu.
2. awe na umri kuanzia miaka 18 na zaidi
3. awe amepitia mafunzo ya mgambo.
4. awe mwaminifu.
5. awe na wadhamini watatu ambao watakubali kuhushwa na upotevu wowote unaohusika nae.
6. awe na barua kutoka kwa mjumbe na serekali ya mtaa anapoishi.
7. awe mtu makini na mwenye kujali kazi
8. awe na picha mbili za passport, kitambulisho cha kura na namba ya simu ya
inayopatikana muda wote.
kwa yoyote mwenye sifa atume barua ya maombi na vivuli vya vyeti vyake
kwenye anuani hii
WINGETY GARAGE
Plot no.423, blockG, sum nujoma Rd, opposite - university Rd,
P.o.box 491, Dar es salaam.barua pepe: linessy@yahoo.com
Att: administrative officer.