Nafasi za kazi Mtwara

Nafasi za kazi Mtwara

Godee jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,836
Reaction score
2,536
Good people
Nahitaji watu 4 kwenda nao Mtwara kikazi kwa siku 3.
Usafiri,chakula na malazi vyote vinatolewa na kampuni.
Ni kampuni kubwa inayo jihusisha na uchimbaji wa gesi asilia.
Ni kuanzia Feb. 29 hadi Feb.31
Malipo ni $.70 kwa siku.
Atakaye penda kujiunga au kama una ndugu au jamaa nijulishe.
 
Good people
Nahitaji watu 4 kwenda nao Mtwara kikazi kwa siku 3.
Usafiri,chakula na malazi vyote vinatolewa na kampuni.
Ni kampuni kubwa inayo jihusisha na uchimbaji wa gesi asilia.
Ni kuanzia Feb. 29 hadi Feb.31
Malipo ni $.70 kwa siku.
Atakaye penda kujiunga au kama una ndugu au jamaa nijulishe.
Nipo tayari mmary
 
Good people
Nahitaji watu 4 kwenda nao Mtwara kikazi kwa siku 3.
Usafiri,chakula na malazi vyote vinatolewa na kampuni.
Ni kampuni kubwa inayo jihusisha na uchimbaji wa gesi asilia.
Ni kuanzia Feb. 29 hadi Feb.31
Malipo ni $.70 kwa siku.
Atakaye penda kujiunga au kama una ndugu au jamaa nijulishe.
 
mmh! kweli waungwana, nafasi za kazi kwenye jukwaa la jokes na udaku!!
 
Good people
Nahitaji watu 4 kwenda nao Mtwara kikazi kwa siku 3.
Usafiri,chakula na malazi vyote vinatolewa na kampuni.
Ni kampuni kubwa inayo jihusisha na uchimbaji wa gesi asilia.
Ni kuanzia Feb. 29 hadi Feb.31
Malipo ni $.70 kwa siku.
Atakaye penda kujiunga au kama una ndugu au jamaa nijulishe.


Mimi mchina, naweza pata mshahara mnono huko Mtwara, nasikia kuna wachina wengi sana huko hata vijijini pia.
 
Nafasi zimebaki mbili kufikia sasa
 
Nafasi imeback moja. Nahitaji majina kamili kwa ajili ya booking ya ndege asap.
 
Back
Top Bottom