byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
Hata Mimi nililiona Hilo mkuuHapana mkuu,vip ww? Changamoto ni kwamba kwenye tangazo lililotoka ajira zimo kadhaa lakini kwenye mfumo hazipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi nililiona Hilo mkuuHapana mkuu,vip ww? Changamoto ni kwamba kwenye tangazo lililotoka ajira zimo kadhaa lakini kwenye mfumo hazipo.
Tembelea ajira portal.leo wamewekaMkuu posts zingine hazipo kwenye mfumo ila kwenye tangazo zipo.Kwa mfano kwenye tangazo HESLB ipo na wanataka watumishi 48 loan officers na idara zingine pia but ukifungua portal hamna, ipo nafasi 1 tu ya mtu wa procurement.
Inakuwaje hapo ktk kuomba na kutuma maombi?
Hawaeleweki kabisaaaa,bora kutuma kwa posta.Warudishe watu watume kwa posta
Oi man kwenye hili tangazo ambalo lipo posted, scroll chini utaonaTangazo liko wapi mkuu
Nina bachelor nimeziona hizo za TFS je naweza kuwa na account mbili ajira portal ili ni apply???Imekaa poa.. japo kigezo cha umri kinabana
HuweziN
Nina bachelor nimeziona hizo za TFS je naweza kuwa na account mbili ajira portal ili ni apply???
Sawa,asante kwa taarifa mkuu.But changamoto ingine ni kufungua account nako kunasumbua. Ili nijaze taarifa na ku upload vyetiTembelea ajira portal.leo wameweka
Asante mkuu,kufungua account nako inasumbua snunajisajili unaweka taarifa zako kisha unaweka vyeti vya elimu ambavyo vimethibitishwa na mwanasheria. NB: namba ya NIDA ni lazima uwe nayo kuomba kazi huko, kwenye suala la barua ndio unaandika pia then unascan na kuupload mule mule
Mkuu pdf editor ni ile premium au ya bure mkuu?Mimi hua nasign kwa pdf editor. Inaokoa muda na pesa.
Za bure zipo kibao na ndiyo ninazotumia. Zamani nilikua nasign onlineMkuu pdf editor ni ile premium au ya bure mkuu?
Dah me nimejaribu kuomba nafasi ya Warden ADEM lakini inakataa, wakati kwa qualifications hizo hizo ilikubali kwa UDSM na VETA. Sijui huu mfumo unashida gani.Daah watu wa finance sijui tumekosea nini jamani na hizi ajira za loan officers pia hatuwezi kuapply na kwenye vigezo wametuainisha kwamba tunaweza kuomba
..👊👊👊Mwaka huu mwisho kukaa kitaa mwanangu