Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo bwana zikiwa nafasi chahce mnalalamika, zikiwekwa nyingi ndo hvo tenaHivi kutangaza nafasi hizo zote ina maana gani.....??? AU wamefukuza wote na sasa wanaanza upya..???
Kipipli je wewe ni mhandisi ? Una qualifications zipi? Hizi zilizotangazwa ni junior roles,du , hawa tanesco nimeomba kazi kama mara nane wamenichunia.hizi post nina-over qualify zaidi ya post nane lakini watang'aa nga'aa sharubu tu. anyway i think theyy will not afford to pay me.
du , hawa tanesco nimeomba kazi kama mara nane wamenichunia.hizi post nina-over qualify zaidi ya post nane lakini watang'aa nga'aa sharubu tu. anyway i think theyy will not afford to pay me.
Kipipli je wewe ni mhandisi ? Una qualifications zipi? Hizi zilizotangazwa ni junior roles,
Natafuta wahandisi, kama wewe ndiye nipm