mambo! jaman wadau me nimemaliza chuo sheria mwaka huu nataka kwenda uhamiaji maana ajira ngumu, kwa anayejua posts ztatoka lin na jinsi ya kuaply naomba anijuze... thanx
Kaka hata mimi najaribu kusearch sn jinsi ya kuweza kuingia uhamiaji, 2naomba m2juze jaman, nafasi za uhamiaji wanatoa mwezi upi? Na kwenye magazeti yapi?