Nafasi za kazi ya kuzika maiti wasiotambuliwa

Nafasi za kazi ya kuzika maiti wasiotambuliwa

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Nimekutana na hii mtandaoni! Inaweza kuwasaidia wadau!
1724606528966.jpeg

Wachapakazi kazi kwenu!
 
Hiii ndo ile mwenzako analipwa million afu mwingine analipwa laki 3 kazi io io mnatofautiana bargaining tuu😀😀
Kuna zile maiti ambazo unakuta zimeshaharibika ndo wanapewa hawa wengine! Na unaambia ukaizike chap
 
Kazi za halimashauri nishazikataa,yaan mtu kukupa haki(mshahara) wako ambayo sio hela yake toka mfukoni anaumia sana,hyo kazi wategemee baadhi ya miezi kutokulipwa

Huu ujinga sijui wakuandikisha wapga kura,sjui postcode,sjui kodi za majengo hapana kwa kweli,
Mkurugenz anakwambia andikisha nyumba 50 kwa siku tena ukiwa unaingiza taarifa kwenye mtandao
 
Kazi za halimashauri nishazikataa,yaan mtu kukupa haki(mshahara) wako ambayo sio hela yake toka mfukoni anaumia sana,hyo kazi wategemee baadhi ya miezi kutokulipwa

Huu ujinga sijui wakuandikisha wapga kura,sjui postcode,sjui kodi za majengo hapana kwa kweli,
Mkurugenz anakwambia andikisha nyumba 50 kwa siku tena ukiwa unaingiza taarifa kwenye mtandao
Kweli kabsa Mkuu na mara kadhaa hawa wanatofutwa hapa wanakwenda kupigwa barabara!
 
Kazi za halimashauri nishazikataa,yaan mtu kukupa haki(mshahara) wako ambayo sio hela yake toka mfukoni anaumia sana,hyo kazi wategemee baadhi ya miezi kutokulipwa

Huu ujinga sijui wakuandikisha wapga kura,sjui postcode,sjui kodi za majengo hapana kwa kweli,
Mkurugenz anakwambia andikisha nyumba 50 kwa siku tena ukiwa unaingiza taarifa kwenye mtandao
Kuna mwaka nilikuwa karani wa sensa mbona tulilipwa fwedha zote kwa wakati.
 
Kuna mwaka nilikuwa karani wa sensa mbona tulilipwa fwedha zote kwa wakati.
Kuna baadhi ya halimashauri zipo vizur,ila nyingi kulipwa pesa mpaka mkalishwe juani zaidi ya masaa 4 wakat huo mumeshakabidhi kaz yao
 
Back
Top Bottom