Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 4,876
- 1,549
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ukihitaji omba bt semina walifanya wle viongozi wa majimbo ili kuweka .mambo sawaTuliambiwa kuwa hili tangazo halina maana yoyote. Watu walikwashapangwa tayari ili kuipa CCM ushindi. Hata semina imekwisha fanywa!
kama ukihitaji omba bt semina walifanya wle viongozi wa majimbo ili kuweka .mambo sawa
Acha kutunga uongo kwenye jukwa la watu wanaojielewa semina zilizokua zikiendelea ni Kwa wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo na izi za sasa ni wasimamizi katika vituo vya kupigia kura.Tuliambiwa kuwa hili tangazo halina maana yoyote. Watu walikwashapangwa tayari ili kuipa CCM ushindi. Hata semina imekwisha fanywa!
Acha kutunga uongo kwenye jukwa la watu wanaojielewa semina zilizokua zikiendelea ni Kwa wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo na izi za sasa ni wasimamizi katika vituo vya kupigia kura.
its true na kila mwenyekiti wa mtaa ameambiwa achague wat wanne au watatu nafas tayar ziko na watu wakeAcha kutunga uongo kwenye jukwa la watu wanaojielewa semina zilizokua zikiendelea ni Kwa wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo na izi za sasa ni wasimamizi katika vituo vya kupigia kura.
unatokea kijiji gani Mkuu, inaweza kua sio kosa lako pengine mazingira yanayokuzunguka ndio tatizo.its true na kila mwenyekiti wa mtaa ameambiwa achague wat wanne au watatu nafas tayar ziko na watu wake
haha usiwe mbishi huo ndio ukweli mimi kuna mtendaji kaniambia hayounatokea kijiji gani Mkuu, inaweza kua sio kosa lako pengine mazingira yanayokuzunguka ndio tatizo.
na kwa uhakika mwenyekiti wa mtaa wangu ameshachagua hao watu wanne kujua napotokea hapatakusaidia jambo elewa hayo mambo yapounatokea kijiji gani Mkuu, inaweza kua sio kosa lako pengine mazingira yanayokuzunguka ndio tatizo.
wenyeviti wa mitaa hawahusiki lolote na hii shughuli hili zoezi linaendeshwa ofisi za wilaya sio mtaa tu hata ngazi ya kata haiwahusu, m/kiti serikali ya mtaa asikudanganye atakupa hii kazi.na kwa uhakika mwenyekiti wa mtaa wangu ameshachagua hao watu wanne kujua napotokea hapatakusaidia jambo elewa hayo mambo yapo
ohoo haya bwana naongea niliyoyashuhudia sio kua nayatoa kichwani.wenyeviti wa mitaa hawahusiki lolote na hii shughuli hili zoezi linaendeshwa ofisi za wilaya sio mtaa tu hata ngazi ya kata haiwahusu, m/kiti serikali ya mtaa asikudanganye atakupa hii kazi.
Labda kama aliongea kutaka sifa maana Kwa vijijini hawa watu wanaaminika na kuonekana wananguvu at a zinapotoka nafasi za jeshi Kwa mfano wengine hudiriki kusema wanaweza kukusaidia kumbe ni jambo lisilowahusu kabisa.