MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,199
wanafunzi wapatao 68000 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano, habari imetolewa na waziri wa elimu kwa vyombo vya habari,na waziri katangaza wanafunzi kuripoti shuleni kuanzia tarehe 10 july, na watakaoshindwa kuripoti hadi kufikia tarehe 30 july nafasi zao zitatolewa kwa wale ambao hawajapata nafasi kwa madaraja mengine
Sourse: Taarifa ya habari Star tv saa 2 usiku huu
Sourse: Taarifa ya habari Star tv saa 2 usiku huu