Nafasi za kidato cha tano 2023/2024

sorry apo nikiwa na four ya 26 na c c c na DDD na f Mathe vipi
 
Nina principle moja nayo ni hii 👇

SHULE YOYOTE INAYOJITANGAZA AIDHA KWENYE REDIO, TV, MAGAZETI AU POPOTE UJUE SHULE HIYO SIO NZURI YANI HAMNA KITU.

Nabaki kuamini hivyo
 
Nina principle moja nayo ni hii 👇

SHULE YOYOTE INAYOJITANGAZA AIDHA KWENYE REDIO, TV, MAGAZETI AU POPOTE UJUE SHULE HIYO SIO NZURI YANI HAMNA KITU.

Nabaki kuamini hivyo
Biashara ni matangazo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…