TRamadhani
Member
- May 30, 2013
- 48
- 18
Heee yamekuwa hayo tena!tatizo kujifunza ki turuki sasa
asante mkuu kwa taarifa
katika ile website yao mbona option ambayo inayo direct apply haionekani?? ebu tusaidiane kwa hilo, wapi napata option ya ku apply??
hapa shida ni umri
kwel nimeangalia pia hamna ila leo ndo pia inaanza wataweka mda si mrefu neno APPLY litakua kwa juu pale baada ya FAQs.
Kweli shida ni umri. Tunachelewa kuanza shule
Hata kama una mdogo wako au ndugu yako kamaliza form four ana GPA 3.6 au zaid pia kichwa kimetulıa Apply.Ataweza tu naamini.kuna watu tupo nao huku hawajuı Advanced Physics halaf wapo vizr tu