sonnita
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,787
- 1,918
Kwa wale freshiers, I mean umetokea direct from bachelor degree, ts hard to get it!!
Why is that so?mmmh!kwann hard kwa walotoka direct from bachelor degree?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale freshiers, I mean umetokea direct from bachelor degree, ts hard to get it!!
Watanzania mnaongoza kwa kudanganyana kwenye mitandao ya kijamii ila kama una akili zako huwez kusema hivyo
Wanatoa course zote inategemea na ufaulu wako katika vyuo bora vyenye ushindani kimataifa sio unaukua unaangalia upande mmoja tu najua wengi mnawaza kuhusu UDINI ndo maana Tanzania hatuendelei.
ok anyway karibun mnaotaka nipo napiga BSc. Mining Engineering sasa sijui unataka course gani mkuu
Samahani kwa niliowakosea ila katika hili halijanipendeza hata kidgo.