Mhemajunior
Member
- Jan 5, 2014
- 9
- 0
Jamani naomba kufahamishwa tangazo la kutuma maombo nafasi za masomo wizara ya afya kwa waliomaliza kidato cha nne linatoka lini maana naona mda unazidi kuyoyoma!
Nikifungua website yao sioni lolote yaani Blankpage .
Sijui kisimu changu ndo kibovu au website yao haionyeshi.
:flypig:
Jamani naomba kufahamishwa tangazo la kutuma maombo nafasi za masomo wizara ya afya kwa waliomaliza kidato cha nne linatoka lini maana naona mda unazidi kuyoyoma!